Uhuru, Kisiga hakuna kulala
Kutokana na ushindani wa namba katika kikosi cha Simba, viungo wa timu hiyo, Shaaban Kisiga na Uhuru Selemani wamejikuta wakilazimika kufanya mazoezi binafsi baada ya kocha wao, Patrick Phiri kuwapa mapumziko juzi Jumapili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Hakuna kulala
WIKI tatu kabla ya kuhitimishwa kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu, vyama vyenye ushindani mkubwa Chama
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Lowassa: Hakuna kulala
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Mghwira: Hakuna kulala
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Hakuna kulala leo
9 years ago
Habarileo28 Aug
Yanga hakuna kulala
ZIKIWA zimesalia takribani wiki mbili kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara, mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Yanga wamepanga kujichimbia Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho. Kwa sasa timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo zipo mafichoni kujiweka sawa kabla kipute hakijaanza rasmi Septemba 12, mwaka huu kwa msimu wa 2015-16.
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Kili Stars hakuna kulala
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Yanga hakuna kulala leo
9 years ago
Habarileo16 Sep
Hakuna kulala Ligi Kuu
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara na mabingwa watetezi, Yanga, leo watakuwa tena kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania pointi tatu dhidi ya Tanzania Prisons ya Mbeya katika mechi ya raundi ya pili ya ligi hiyo.