Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwambusi, Bushiri waitwa Yanga

Huku uongozi wa Yanga ukiendelea kumsaka mrithi wa Boniface Mkwasa aliyepewa kazi Taifa Stars, wanachama na mashabiki wa klabu hiyo wamependekeza aina gani ya kocha wanayeamini ataziba vyema nafasi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bushiri avutiwa kiwango KMKM vs Yanga

KOCHA wa mabingwa wa soka visiwani Zanzibar, KMKM, Ally Bushiri, amesema ameridhishwa na kiwango cha timu yake katika mechi ya juzi dhidi ya Yanga Uwanja wa Taifa jijini Dar es...

 

9 years ago

Habarileo

Mwambusi: Hakuna wa kuizuia Yanga

LICHA ya kuachwa nyuma kwa pointi mbili na vinara Azam FC katika msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Kocha msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi, amesema licha ya ushindani mkubwa katika ligi, ana uhakika watatetea ubingwa wao msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ziara Yanga yamkuna Mwambusi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema ujio wa Yanga ndani ya Jiji la Mbeya hilo ni kama zali kwao kwani mechi yao ya kirafiki watakayocheza nao Jumapili itamsaidia kukijenga kikosi chake.

 

10 years ago

Habarileo

Mwambusi aanza kwa mkwara Yanga

KOCHA mpya wa Yanga aliyetangazwa kuchukua nafasi ya Boniface Mkwasa, Juma Mwambusi amesema kuwa ataziba pengo la kocha huyo. Mwambusi kabla ya kujiunga na Yanga alikuwa Kocha Mkuu wa Mbeya City aliyoisaidia kupanda daraja kutokea ligi daraja la kwanza.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mwambusi kutua Yanga leo

Safari ya kocha wa Mbeya City kutua Yanga imeiva baada ya jana kuwaaga rasmi wachezaji wake mazoezini.

 

10 years ago

TheCitizen

Mwambusi replaces Mkwasa as Yanga’s new assistant coach

It’s now official.Mbeya City’s head coach Juma Mwambusi has officially joined Mainland soccer champions, Dar es Salaam Young Africans.

 

10 years ago

Habarileo

Maguri, Busungu waitwa Stars

WASHAMBULIAJI Elias Maguri wa Stand United ya Shinyanga na Malimi Busungu wa Yanga, wameongezwa katika kikosi cha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini Oman kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria mwezi ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani