Mwambusi, Bushiri waitwa Yanga
Huku uongozi wa Yanga ukiendelea kumsaka mrithi wa Boniface Mkwasa aliyepewa kazi Taifa Stars, wanachama na mashabiki wa klabu hiyo wamependekeza aina gani ya kocha wanayeamini ataziba vyema nafasi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Bushiri avutiwa kiwango KMKM vs Yanga
KOCHA wa mabingwa wa soka visiwani Zanzibar, KMKM, Ally Bushiri, amesema ameridhishwa na kiwango cha timu yake katika mechi ya juzi dhidi ya Yanga Uwanja wa Taifa jijini Dar es...
9 years ago
Habarileo18 Nov
Mwambusi: Hakuna wa kuizuia Yanga
LICHA ya kuachwa nyuma kwa pointi mbili na vinara Azam FC katika msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Kocha msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi, amesema licha ya ushindani mkubwa katika ligi, ana uhakika watatetea ubingwa wao msimu huu.
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Ziara Yanga yamkuna Mwambusi
10 years ago
Habarileo13 Oct
Mwambusi aanza kwa mkwara Yanga
KOCHA mpya wa Yanga aliyetangazwa kuchukua nafasi ya Boniface Mkwasa, Juma Mwambusi amesema kuwa ataziba pengo la kocha huyo. Mwambusi kabla ya kujiunga na Yanga alikuwa Kocha Mkuu wa Mbeya City aliyoisaidia kupanda daraja kutokea ligi daraja la kwanza.
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Kocha Mwambusi kutua Yanga leo
10 years ago
TheCitizen12 Oct
Mwambusi replaces Mkwasa as Yanga’s new assistant coach
10 years ago
Habarileo28 Oct
Maguri, Busungu waitwa Stars
WASHAMBULIAJI Elias Maguri wa Stand United ya Shinyanga na Malimi Busungu wa Yanga, wameongezwa katika kikosi cha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini Oman kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria mwezi ujao.