Maguri, Busungu waitwa Stars
WASHAMBULIAJI Elias Maguri wa Stand United ya Shinyanga na Malimi Busungu wa Yanga, wameongezwa katika kikosi cha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini Oman kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria mwezi ujao.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Oct
Busungu ajipongeza kuitwa Stars
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Malimi Busungu amesema juhudi zake ndizo zilizofanikisha kutimia kwa ndoto zake za siku nyingi za kuitwa kuichezea timu ya taifa, Taifa Stars.
9 years ago
Habarileo29 Oct
‘Maguri ataisaidia Stars kuiua Algeria’
KOCHA Msaidizi wa Stand United, Athuman Bilali ‘Billo’ amesema Elias Maguri anaweza kuifunga Algeria endapo kocha Boniface Mkwasa atamtumia.
11 years ago
Michuzi25 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1K8UNuGB1wY/VCqNmtEH_rI/AAAAAAAGmtU/d2yy7eMgFMM/s72-c/Staz.jpg)
26 WAITWA TAIFA STARS ITAKAYOIVAA BENIN
![](http://2.bp.blogspot.com/-1K8UNuGB1wY/VCqNmtEH_rI/AAAAAAAGmtU/d2yy7eMgFMM/s1600/Staz.jpg)
Kocha Mart Nooij ambaye yuko Cairo, Misri kwenye kongamano la makocha la Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), amesema kikosi cha Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kitaingia kambini Oktoba 6 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Wachezaji walioitwa ni makipa...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Mtiro, Mbonde, Isihaka waitwa Taifa Stars
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwrWXoZ445Q*oID3frNFn8gYszQlQlJUNnrBoE-MuXzrc1Id4ue*1kZ2XBCCZc5l3yvT4X0FOUra2vHc2wYQP68s/1.gif?width=650)
Busungu asaini Yanga
9 years ago
Habarileo06 Nov
Ngoma ambeza Maguri
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Yanga, Donald Ngoma, amesema bado hajaona mpinzani wa kumzuia ashindwe kubeba tuzo ya Mfungaji Bora msimu huu baada ya kuizoea Ligi ya Tanzania Bara kwa muda mfupi tangu ajiunge na timu hiyo.
10 years ago
Habarileo09 Aug
Maguri asikitika kutemwa Simba
MSHAMBULIAJI wa Simba, Elius Maguri amesema kitendo cha kuachwa dakika za mwisho kimemuumiza sana ukizingatia amefanya mazoezi kwa kujituma sana Zanzibar.
9 years ago
TheCitizen30 Dec
Maguri to leave Stand United