Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Busungu asaini Yanga

Malimi Busungu akisaini mkataba na timu ya Yanga.
Sweetbert Lukonge na Said Ally
YANGA haitaki masihara hata kidogo linapokuja suala la kukiongezea nguvu kikosi chake! Licha ya vijana hao wa Jangwani kuongoza kwa kufunga mabao 52 katika michezo 26 ya Ligi Kuu Bara msimu uliopita, imeamua kumuongeza mchana nyavu mwingine, anaitwa Malimi Busungu ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili akitokea Mgambo JKT. Yanga imeizidi nguvu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Busungu the hero as Yanga spank Simba

Young Africans fans breathed a sigh of relief after Amissi Tambwe and substitute Malimi Busungu struck to hand the Vodacom Premier League reigning champions a 2-0 win over arch-rivals Simba SC, at the National Stadium yesterday.

 

11 years ago

GPL

Okwi asaini Yanga SC

Na Khatimu Naheka
USAJILI wa kishindo, Yanga imefanya kufuru kwa kufunga dirisha dogo la usajili kwa kumsajili kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba, Emmanuel Arnold Okwi na ataanza kuichezea klabu hiyo kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara.
Okwi, ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa ya Uganda, The Cranes, amesaini kuichezea Yanga kwa miaka miwili na nusu na Shirikisho la Soka la Uganda (Fufa) limemuidhinisha rasmi kuwa...

 

10 years ago

GPL

EMERSON ASAINI YANGA

Kiungo mbrazil Emerson De Oliviera Neves Roque (kushoto) akisaini mkataba leo wa kuitumikia klabu ya Young Africans, kulia ni Afisa Habari wa klabu Baraka Kizuguto. Kiungo Emerson De Oliveira Neves Roque leo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia klabu ya Young Africans baada ya benchi la ufundi kuridhika na uwezo wake,na mchezaji mwenyewe kufikia makubaliano hayo ya kuwatumikia watoto wa Jangwani. Baada ya kufanya mazoezi...

 

11 years ago

GPL

JAJA ASAINI MIAKA 2 YANGA

Jaja akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa Young Africans, Bw. Beno Njovu leo mara baada ya kusaini kuitumikia kwa miaka miwili. Hatimaye mshamabuliaji Geilson Santos Santana "Jaja"  raia wa Brazil leo amesaini mkataba wa miaka miwili (2014-2016) kuitumikia timu ya Young Africans kwa ajili ya michuano mbalimbali ikiwemo ya Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika...

 

10 years ago

Mwananchi

Mrwanda asaini mwaka mmoja Yanga

Yanga imefanya usajili wa kushtukiza na kuwawahi wapinzani wao Simba baada ya kumsainisha mshambuliaji mkongwe Danny Mrwanda  mkataba wa mwaka mmoja akitokea Polisi Morogoro.

 

11 years ago

Michuzi

MARCIO MAXIMO ASAINI MKATABA NA YANGA.

Kocha mkuu wa zamani wa timu ya Taifa, taifa Stars Marcio Maximo  amesaini mkataba  wa kuwa kocha mkuu na timu ya Yanga kwa muda wa miaka miwili. makubaliano hayo yamefikiwa jana, wakala  anaye mwakilisha Ally Mleh wa kampuni ya Manyara Sports Management amethibitisha hilo.
"Ni kweli kocha Marcio Maximo amekubali kuingia mkataba na timu ya  Yanga ambapo anatarajiwa kuanza kazi rasmi tarehe 27/06/2014 ambapo  atafuatana na msaidizi wake Leonardo Neiva. Mazungumzo ya makubaliano   hayo...

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe asaini Yanga, Maximo nje

Yanga imefanya usajili wa kushtukiza kwa kumsajili Amissi Tambwe aliyeachwa na Simba huku kibarua cha Mbrazili Marcio Maximo kikiwa dakika za mwisho Jangwani.  

 

10 years ago

GPL

Msuva amkomesha baba yake, asaini miaka miwili Yanga

Winga wa Yanga, Simon Msuva. Wilbert Molandi, Dar es Salaam KAMA amemkomesha baba yake mzazi vile, winga Simon Msuva amesaini mkataba mwingine wa miaka miwili ya kuendelea kuichezea Yanga inayojiandaa na Kombe la Kagame, Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika. Awali, baba wa winga huyo, Happygod Msuva, alimzuia mwanaye kusaini mkataba mwingine wa kuendelea kuichezea Yanga, badala yake aende Simba akapate changamoto mpya....

 

9 years ago

Habarileo

‘Kuondoka kwa Busungu kumeniumiza’

MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Mgambo JKT inayoshiriki katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Fuluzulu Maganga, amesema kufifia kwa kiwango chake msimu huu kumetokana na kuondoka kwa pacha wake Malimi Busungu aliyejiunga na Yanga msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani