EMERSON ASAINI YANGA
![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7Mj6SXr4lkDv3-zIX*AGe4nyab-KN0-E0*McEd2jPR4ZiVe69KQKEaPCS*ujdCIsLxXIsrCXxKr*7o3B4Laqs7Gq/emerson.jpg)
Kiungo mbrazil Emerson De Oliviera Neves Roque (kushoto) akisaini mkataba leo wa kuitumikia klabu ya Young Africans, kulia ni Afisa Habari wa klabu Baraka Kizuguto. Kiungo Emerson De Oliveira Neves Roque leo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia klabu ya Young Africans baada ya benchi la ufundi kuridhika na uwezo wake,na mchezaji mwenyewe kufikia makubaliano hayo ya kuwatumikia watoto wa Jangwani. Baada ya kufanya mazoezi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Nov
EMERSON AANZA KUJIFUA YANGA
![](http://api.ning.com/files/17StHKe5zK6j2iG7mh2yDkZsIAJQbjXQH0TfZxiE3v6LitfsjqbKpyeBqtk3cydgG3dpZBSNTF4JTLspeltz2J2eL6L4LP0t/YANGA.jpg)
BAADA ya kuwasili jana kutoka nchini Brazil, kiungo mkabaji Emerson de Oliveira Neves Roque leo ameanza mazoezi mepesi asubuhi katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola jijini Dar es Salaam kufuatia kusaifri kwa zaidi ya masaa 11 kutoka jijini Rio de Janeiro.
Emerson ameungana na wachezaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK6j2iG7mh2yDkZsIAJQbjXQH0TfZxiE3v6LitfsjqbKpyeBqtk3cydgG3dpZBSNTF4JTLspeltz2J2eL6L4LP0t/YANGA.jpg)
EMERSON AANZA MAZOEZI YANGA
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Emerson apewa mkataba Yanga
10 years ago
TheCitizen02 Dec
Emerson inks 1-year Yanga agreement
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UQ22ksITao8/VHxuKjkl2SI/AAAAAAAG0kk/Ikvu1rj3ZHU/s72-c/emerson_310_230.jpg)
Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera amwaga wino Yanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-UQ22ksITao8/VHxuKjkl2SI/AAAAAAAG0kk/Ikvu1rj3ZHU/s1600/emerson_310_230.jpg)
Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera Neves Roque pichani kushoto akisaini mkataba leo jijini Dar,wa kutumikia Klabu ya Young Africans,Kulia ni Afisa Habari wa klabu hiyo Baraka Kizuguto.
Dar es Salaam. Wakati Yanga ikimpa mkataba wa mwaka mmoja kiungo Emerson De Oliveira, watani zao Simba wamemtema rasmi mshambuliaji Paul Kiongera.
Emerson amesaini mkataba huo baada ya benchi la ufundi chini ya Mbrazil Marcio Maximo kuridhika na kiwango chake na sasa ataitumikia timu hiyo ya Jangwani.
Emerson...
10 years ago
GPLMBRAZIL EMERSON KUZIBA PENGO LILILOACHWA NA JAJA ALIYEKATISHA MKATABA NA YANGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwrWXoZ445Q*oID3frNFn8gYszQlQlJUNnrBoE-MuXzrc1Id4ue*1kZ2XBCCZc5l3yvT4X0FOUra2vHc2wYQP68s/1.gif?width=650)
Busungu asaini Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-2YiV16Uwlx-OTxx40PAq1FjGAtQhAaVxlQAc*hLTk2L0vuGWF1pYrRvSjQw3L7ceYBur27P-rCG5h8A2*w*Ksq/1Dar1copy.jpg?width=650)
Okwi asaini Yanga SC
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rqP7uHznJSU/VHc3NkxqO-I/AAAAAAAAY4k/_vImRzh8S_Q/s72-c/1.jpg)
MCHEZAJI EMERSON ALIYELETWA YANGA KWA MAJARIBIO HAJAWAHI CHEZA HATA MECHI MOJA KWENYE TIMU YAKE YA ZAMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rqP7uHznJSU/VHc3NkxqO-I/AAAAAAAAY4k/_vImRzh8S_Q/s1600/1.jpg)
Timu anayochezea ya Bonsucesso FC inashika nafasi ya 13 na imeshinda michezo mitatu na kupoteza michezo 6 na kutoka suluhu michezo 6.
Habari kwa hisani ya...