‘Kuondoka kwa Busungu kumeniumiza’
MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Mgambo JKT inayoshiriki katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Fuluzulu Maganga, amesema kufifia kwa kiwango chake msimu huu kumetokana na kuondoka kwa pacha wake Malimi Busungu aliyejiunga na Yanga msimu huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwrWXoZ445Q*oID3frNFn8gYszQlQlJUNnrBoE-MuXzrc1Id4ue*1kZ2XBCCZc5l3yvT4X0FOUra2vHc2wYQP68s/1.gif?width=650)
Busungu asaini Yanga
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Tambwe, Busungu wafuta uteja
9 years ago
Habarileo08 Nov
Pluijm awafagilia Tambwe, Busungu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm, amewakingia kifua washambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe na Malimi Busungu na kusema kwamba hajali kama hawajafunga kwenye mechi za karibuni.
9 years ago
Habarileo28 Oct
Maguri, Busungu waitwa Stars
WASHAMBULIAJI Elias Maguri wa Stand United ya Shinyanga na Malimi Busungu wa Yanga, wameongezwa katika kikosi cha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini Oman kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria mwezi ujao.
9 years ago
Habarileo29 Oct
Busungu ajipongeza kuitwa Stars
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Malimi Busungu amesema juhudi zake ndizo zilizofanikisha kutimia kwa ndoto zake za siku nyingi za kuitwa kuichezea timu ya taifa, Taifa Stars.
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Upinzani washtumu kuondoka kwa Bashir
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QdvKqum2Dy-W6X8xk6I*Lnl0AXDJZIW0871kbgP-hHP1v*aTroNpY8IM5uFcr-2v6UaWgUMwZGBxNzY0os*KuuT/YANGAFC.jpg?width=650)
Yanga yabariki kuondoka kwa Niyonzima
9 years ago
Habarileo27 Aug
Timu ya Afrika kuondoka kwa mafungu
TIMU ya Tanzania itakayoshiriki katika mashindano ya Mataifa ya Afrika yatakayofanyika Brazzaville, Congo itaondoka kwa awamu tatu, imeelezwa. Tanzania katika michezo hiyo itakayoanza Septemba 4 hadi 19 itawakilishwa na timu za ngumi, kuogelea, soka la wanawake (Twiga Stars), Paralympic, riadha na judo.
10 years ago
Mtanzania18 May
Busungu, Mandawa hao wakaribia Simba
Na Judith Peter, Dar es Salaam
WASHAMBULIAJI wawili, Rashid Mandawa na Malimi Busungu, wanakaribia kutua ndani ya timu ya Simba kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mandawa (Kagera Sugar) na Busungu (Mgambo JKT) ni moja ya washambuliaji wazawa waliofanya vizuri ligi kuu msimu uliopita, Mandawa akicheka na nyavu mara 10, huku straika mwenzake huyo akifunga nane.
Chanzo cha ndani ya Simba kililipasha MTANZANIA jana kuwa mazungumzo yao na wawili hao yamefikia sehemu...