Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kuondoka kwa Busungu kumeniumiza’

MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Mgambo JKT inayoshiriki katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Fuluzulu Maganga, amesema kufifia kwa kiwango chake msimu huu kumetokana na kuondoka kwa pacha wake Malimi Busungu aliyejiunga na Yanga msimu huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Busungu asaini Yanga

Malimi Busungu akisaini mkataba na timu ya Yanga.
Sweetbert Lukonge na Said Ally
YANGA haitaki masihara hata kidogo linapokuja suala la kukiongezea nguvu kikosi chake! Licha ya vijana hao wa Jangwani kuongoza kwa kufunga mabao 52 katika michezo 26 ya Ligi Kuu Bara msimu uliopita, imeamua kumuongeza mchana nyavu mwingine, anaitwa Malimi Busungu ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili akitokea Mgambo JKT. Yanga imeizidi nguvu...

 

9 years ago

Mwananchi

Tambwe, Busungu wafuta uteja

Ngoma ya kitoto siku zote haikeshi! Ndivyo, unavyoweza kueleza mchezo wa jana baina ya watani wa jadi, Simba na Yanga uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm awafagilia Tambwe, Busungu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm, amewakingia kifua washambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe na Malimi Busungu na kusema kwamba hajali kama hawajafunga kwenye mechi za karibuni.

 

9 years ago

Habarileo

Maguri, Busungu waitwa Stars

WASHAMBULIAJI Elias Maguri wa Stand United ya Shinyanga na Malimi Busungu wa Yanga, wameongezwa katika kikosi cha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini Oman kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria mwezi ujao.

 

9 years ago

Habarileo

Busungu ajipongeza kuitwa Stars

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Malimi Busungu amesema juhudi zake ndizo zilizofanikisha kutimia kwa ndoto zake za siku nyingi za kuitwa kuichezea timu ya taifa, Taifa Stars.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani washtumu kuondoka kwa Bashir

Chama cha upinzani nchini Afrika ya Kusini kimetaka uchunguzi kufanywa nchini humo kufuatia hatua ya serikali kushindwa kumkamata rais wa Sudan Omar el Bashir ambaye ameshtakiwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari katika mahakama ya ICC.

 

11 years ago

GPL

Yanga yabariki kuondoka kwa Niyonzima

Haruna Niyonzima. Na Khadija Mngwai
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefunguka kuwa, hauna kipingamizi cha aina yoyote juu ya kiungo mshambuliaji wake, Haruna Niyonzima, aliyetangaza kuondoka iwapo dili lake litakamilika. Niyozima aliliambia Championi hivi karibuni kuwa yupo katika mchakato wa kuiacha timu hiyo iwapo mikakati yake itakamilika kwa kuwa kuna klabu kadhaa zinamfuatilia. Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa...

 

9 years ago

Habarileo

Timu ya Afrika kuondoka kwa mafungu

TIMU ya Tanzania itakayoshiriki katika mashindano ya Mataifa ya Afrika yatakayofanyika Brazzaville, Congo itaondoka kwa awamu tatu, imeelezwa. Tanzania katika michezo hiyo itakayoanza Septemba 4 hadi 19 itawakilishwa na timu za ngumi, kuogelea, soka la wanawake (Twiga Stars), Paralympic, riadha na judo.

 

10 years ago

Mtanzania

Busungu, Mandawa hao wakaribia Simba

simbaNa Judith Peter, Dar es Salaam
WASHAMBULIAJI wawili, Rashid Mandawa na Malimi Busungu, wanakaribia kutua ndani ya timu ya Simba kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mandawa (Kagera Sugar) na Busungu (Mgambo JKT) ni moja ya washambuliaji wazawa waliofanya vizuri ligi kuu msimu uliopita, Mandawa akicheka na nyavu mara 10, huku straika mwenzake huyo akifunga nane.
Chanzo cha ndani ya Simba kililipasha MTANZANIA jana kuwa mazungumzo yao na wawili hao yamefikia sehemu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani