Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm awafagilia Tambwe, Busungu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm, amewakingia kifua washambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe na Malimi Busungu na kusema kwamba hajali kama hawajafunga kwenye mechi za karibuni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tambwe, Busungu wafuta uteja

Ngoma ya kitoto siku zote haikeshi! Ndivyo, unavyoweza kueleza mchezo wa jana baina ya watani wa jadi, Simba na Yanga uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm, Tambwe wakamiana

>Kocha  wa Yanga, Hans van Pluijm na mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe kila moja amejigamba kuhakikisha klabu yake inamaliza msimu kwa kupata ushindi katika mchezo  wa mwisho baina ya timu hizo.

 

10 years ago

GPL

Pluijm ampa siku 14 Tambwe

Amissi Tambwe. Na Hans Mloli
KATIKA kuhakikisha kikosi chake kinafanya vizuri msimu ujao, Kocha wa Yanga, Mdachi, Hans van Der Pluijm, amekuja na mipango mizito ikiwemo ya kutenga siku 14 za kukaa na wachezaji wake nje ya Mji wa Dar es Salaam, siku chache kabla ya kuanza kwa ligi kwa ajili ya kuwapatia ‘silaha’ nzitonzito. Pluijm ameliambia Championi Jumatatu kuwa anajua msimu ujao utakuwa mgumu na utachangamka...

 

9 years ago

Habarileo

Tambwe ampa raha Pluijm

KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema kupona kwa mshambuliaji wake Mrundi Amissi Tambwe, kumeongeza matumaini ya kushinda mechi ya Jumamosi dhidi ya Mgambo JKT Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

10 years ago

GPL

Pluijm: Tambwe atakuwa mfungaji bora

Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Na Omary Mdose
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amewashangaa wanaosema kuwa mshambuliaji wake, Mrundi, Amissi Tambwe hawezi kuwa mfungaji bora katika Ligi Kuu Bara, msimu huu. Tambwe ambaye amejiunga na Yanga akitokea Simba ikiwa ni siku moja kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Desemba 15, mwaka jana, alikuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu...

 

10 years ago

GPL

Pluijm: Tambwe, Sherman wataongoza maangamizi

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm. Na Said Ally
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm ametamka wazi kuwa ataendelea kutumia mfumo wa kutumia mastraika watatu katika michezo mbalimbali ya timu hiyo kama alivyofanya katika mchezo dhidi ya Azam FC kutokana na kuhitaji kikosi hicho kupata ushindi wa mabao mengi katika kila mchezo wake. Yanga ilionekana kucheza kwa kufanya mashambululizi mengi katika mechi dhidi ya Azam, wikiendi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha awafagilia Uhuru, Maguli

Kocha wa Zesco United ya Zambia, George Lwandamina ameichambua Simba akisema muunganiko wa winga Uhuru Selemani na mshambuliaji Elius Maguli ni hatari zaidi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Godzilla awafagilia waongozaji video

MSANII wa muziki wa kizazi kipya katika miondoko ya hip hop nchini, Tzee Godzilla, amesema bado ana imani kuwa waongozaji video wa Tanzania wana uwezo wa kufanya kazi nzuri, ingawa...

 

9 years ago

GPL

DK MAGUFULI AITEKA IRINGA AWAFAGILIA MWAKALEBELA, MGIMWA

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa Wananchi wakati wa mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Samora, mjini Iringa.  Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM, William Lukuvi akitangaza wasifu wa mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk Magufuli wakati wa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani