Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tambwe ampa raha Pluijm

KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema kupona kwa mshambuliaji wake Mrundi Amissi Tambwe, kumeongeza matumaini ya kushinda mechi ya Jumamosi dhidi ya Mgambo JKT Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Pluijm ampa siku 14 Tambwe

Amissi Tambwe. Na Hans Mloli
KATIKA kuhakikisha kikosi chake kinafanya vizuri msimu ujao, Kocha wa Yanga, Mdachi, Hans van Der Pluijm, amekuja na mipango mizito ikiwemo ya kutenga siku 14 za kukaa na wachezaji wake nje ya Mji wa Dar es Salaam, siku chache kabla ya kuanza kwa ligi kwa ajili ya kuwapatia ‘silaha’ nzitonzito. Pluijm ameliambia Championi Jumatatu kuwa anajua msimu ujao utakuwa mgumu na utachangamka...

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe awapa raha Yanga

 Mshambuliaji Amissi Tambwe aliwapa raha mashabiki wa Yanga baada ya jana kuifungia timu yake mabao mawili dhidi ya BDF XI ya Botswana iliyokuwa ikishangiliwa muda wote na mashabiki wa Simba kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm, Tambwe wakamiana

>Kocha  wa Yanga, Hans van Pluijm na mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe kila moja amejigamba kuhakikisha klabu yake inamaliza msimu kwa kupata ushindi katika mchezo  wa mwisho baina ya timu hizo.

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm awafagilia Tambwe, Busungu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm, amewakingia kifua washambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe na Malimi Busungu na kusema kwamba hajali kama hawajafunga kwenye mechi za karibuni.

 

10 years ago

GPL

Pluijm: Tambwe atakuwa mfungaji bora

Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Na Omary Mdose
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amewashangaa wanaosema kuwa mshambuliaji wake, Mrundi, Amissi Tambwe hawezi kuwa mfungaji bora katika Ligi Kuu Bara, msimu huu. Tambwe ambaye amejiunga na Yanga akitokea Simba ikiwa ni siku moja kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Desemba 15, mwaka jana, alikuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu...

 

10 years ago

GPL

Pluijm: Tambwe, Sherman wataongoza maangamizi

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm. Na Said Ally
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm ametamka wazi kuwa ataendelea kutumia mfumo wa kutumia mastraika watatu katika michezo mbalimbali ya timu hiyo kama alivyofanya katika mchezo dhidi ya Azam FC kutokana na kuhitaji kikosi hicho kupata ushindi wa mabao mengi katika kila mchezo wake. Yanga ilionekana kucheza kwa kufanya mashambululizi mengi katika mechi dhidi ya Azam, wikiendi...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Pluijm ampa nafasi Samatta Ulaya

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amempongeza mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta kwa kuiwezesha TP Mazembe kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Afrika na kumshauri sasa ni wakati wake wa kucheza soka la kulipwa Ulaya.

 

11 years ago

GPL

Pluijm ampa ulaji Mkwasa atimkia Uarabuni

Kocha wa Klabu ya Shaola SC, Hans van Der Pluijm. Na Lucy Mgina
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, ameiacha timu hiyo na kutimkia Saudi Arabia kwa ajili ya kuwa Kocha Msaidizi wa Klabu ya Shaola SC inayonolewa na Hans van Der Pluijm.…

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi

KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.

“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani