Pluijm: Tambwe, Sherman wataongoza maangamizi
![](http://api.ning.com:80/files/vanfKzplWu-qeRd4s-FNH0PAwI3NBDfAtPiHFD81gR3OLus*65kQunDB9WQfTeecH4NqfSQuBX-Y3mZWFoVZTZ-4m*1rUI-Z/p.jpg)
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm. Na Said Ally KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm ametamka wazi kuwa ataendelea kutumia mfumo wa kutumia mastraika watatu katika michezo mbalimbali ya timu hiyo kama alivyofanya katika mchezo dhidi ya Azam FC kutokana na kuhitaji kikosi hicho kupata ushindi wa mabao mengi katika kila mchezo wake. Yanga ilionekana kucheza kwa kufanya mashambululizi mengi katika mechi dhidi ya Azam, wikiendi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Pluijm, Tambwe wakamiana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Q0IC036mDoEYIMEP5zW*0nsJ0zA7*M7vH4ogVQXdJqGIZnL7o7c8Hbm2qT5oOFDegDqPJiq6R9pqM-q7DScrIr/hfhh.jpg?width=650)
Pluijm ampa siku 14 Tambwe
9 years ago
Habarileo10 Dec
Tambwe ampa raha Pluijm
KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema kupona kwa mshambuliaji wake Mrundi Amissi Tambwe, kumeongeza matumaini ya kushinda mechi ya Jumamosi dhidi ya Mgambo JKT Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
9 years ago
Habarileo08 Nov
Pluijm awafagilia Tambwe, Busungu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm, amewakingia kifua washambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe na Malimi Busungu na kusema kwamba hajali kama hawajafunga kwenye mechi za karibuni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFxzV*QnfI*9ni8WAKGL1o0TcWV8n5yb8QimU9XKapDTA1PSO3nU9Q037jvT0RrqUmjmviwpNaT9EvDB9q98npB4/PLUIJM.jpg)
Pluijm: Tambwe atakuwa mfungaji bora
10 years ago
Habarileo04 Aug
Yanga wamuuza Sherman
KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kumuuza kwa mkataba wa miaka mitatu mshambuliaji wake raia wa Liberia, Kpah Sherman aliyejiunga na timu ya Mpumalanga Black Aces iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Afrika Kusini ya PSL msimu huu.
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Maangamizi
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Yanga kuwakosa Coutinho, Sherman
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Olunga kuziba nafasi ya Sherman
MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga ametajwa kuingia kwenye rada za kujiunga na mabingwa watetezi wa ligi kuu, Yanga ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Kpah Sherman wa Liberia ambaye yuko mbioni kusajiliwa na Mpumalanga FC ya Afrika Kusini.
Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, mmoja wa viongozi wa bechi la ufundi alisema kocha wao mkuu Hans Van Pluijm anamtaka mshambuliaji huyo kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao.
Kiongozi huyo ambaye...