Yanga kuwakosa Coutinho, Sherman
Dar es Salaam. Yanga ipo kwenye hatihati ya kuwakosa wachezaji wake Andrey Coutinho, Kpah Sherman na Jerryson Tegete ambao ni majeruhi katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika dhidi ya Platinum ya Zimbabwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Sherman, Coutinho waja leo Tanga
10 years ago
Habarileo04 Aug
Yanga wamuuza Sherman
KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kumuuza kwa mkataba wa miaka mitatu mshambuliaji wake raia wa Liberia, Kpah Sherman aliyejiunga na timu ya Mpumalanga Black Aces iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Afrika Kusini ya PSL msimu huu.
10 years ago
Habarileo08 Aug
Coutinho chupuchupu Yanga
MASHABIKI wa Yanga wamemwokoa kiungo Mbrazili Andrey Coutinho asitemwe baada ya kumpigia simu Mwenyekiti wao Yusuf Manji, ambaye aliamuru mchezaji huyo asiachwe.
9 years ago
Habarileo09 Dec
Mrithi wa Coutinho aiumiza Yanga
UONGOZI wa Yanga umesema haujutii uamuzi wake ya kuachana na kiungo Mbrazili Andrey Coutinho kwani wapo katika mikakati ya kupata mchezaji mwenye tija katika michuano ya kimataifa mwakani.
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Maximo amleta Coutinho Yanga
9 years ago
Habarileo23 Oct
Salvatory amfagilia Coutinho Yanga
KIUNGO wa zamani wa Yanga, Salvatory Edward amesema winga Mbrazil wa timu hiyo, Andrey Coutinho anastahili kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E9fEOxuVMyQYleZM2l34Vygsi3lKxJyqqnZhcjUnW7zYM*w5VpmE9uIgyt0uRe1T-o4ryhkXjvk2TpEdCUe14zX07Jd*BqFQ/CORT.jpg)
Coutinho apewa jukumu zito Yanga
10 years ago
Mwananchi05 Aug
USAJILI: Yanga yawakata Zutah, Coutinho
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQ9Pc3wnMxPU0xsXKH2kJ0C-FJ*WRu270H*sJDn1KSQcdpKCxUYAfm0xBvQgHXEyEsAA1JqnSbZv5PU5wU5hL0s/coutinho.gif?width=650)
Coutinho anogewa na sembe, ubwabwa Yanga SC