Sherman, Coutinho waja leo Tanga
Ni dhahiri Yanga inaingia Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga kuikabili Coastal Union huku ikisutwa na kiwango duni cha washambuliaji wake, akiwamo Kpah Sherman ambaye amecheza dakika 360 bila bao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Yanga kuwakosa Coutinho, Sherman
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/m0f9feIrgik/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xoxC5oATa-A/U_jDeCOTzZI/AAAAAAAGBz8/uwaWIfr1jPQ/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
Wasanii wa serengeti fiesta Tanga wamjulia hali Babu njenje, Tanga, leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-xoxC5oATa-A/U_jDeCOTzZI/AAAAAAAGBz8/uwaWIfr1jPQ/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-k1_XFxoFWUo/U_jDeuME7QI/AAAAAAAGB0I/8CC0pikm1Ok/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Habarileo04 Aug
Yanga wamuuza Sherman
KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kumuuza kwa mkataba wa miaka mitatu mshambuliaji wake raia wa Liberia, Kpah Sherman aliyejiunga na timu ya Mpumalanga Black Aces iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Afrika Kusini ya PSL msimu huu.
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Sherman aota kuifunga Simba
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Sherman kwenda Sauzi kesho
MSHAMBULIAJI wa Yanga Kpar Sherman raia wa Liberia anatarajia kuondoka nchini kwenda Afrika Kusini katika timu ya Mpululanga black Acse kwa ajili ya kufanyiwa vipimo kabla ya kusajiliwa rasmi.
Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alithibitisha kuondoka kwa mchezaji huyo raia wa Liberia na kuwa uongozi umempa baraka zote.
Alisema leo atakuwa anamalizia masuala ya mwisho ili aweze kupata visa na kesho atakuwa safarini kwenda Afrika kusini kwa ajili ya vipimo.
“Sherman anaenda...
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Olunga kuziba nafasi ya Sherman
MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga ametajwa kuingia kwenye rada za kujiunga na mabingwa watetezi wa ligi kuu, Yanga ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Kpah Sherman wa Liberia ambaye yuko mbioni kusajiliwa na Mpumalanga FC ya Afrika Kusini.
Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, mmoja wa viongozi wa bechi la ufundi alisema kocha wao mkuu Hans Van Pluijm anamtaka mshambuliaji huyo kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao.
Kiongozi huyo ambaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vanfKzplWu-qeRd4s-FNH0PAwI3NBDfAtPiHFD81gR3OLus*65kQunDB9WQfTeecH4NqfSQuBX-Y3mZWFoVZTZ-4m*1rUI-Z/p.jpg)
Pluijm: Tambwe, Sherman wataongoza maangamizi
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Kingwendu kupamba bonanza Tanga leo
MSANII maarufu wa maigizo na uchekeshaji, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’, anatarajiwa kushiriki katika bonanza la michezo na burudani litakalofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Majani Mapana jijini Tanga, leo. Kingwendu atakuwa...