Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sherman aota kuifunga Simba

Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman ni kama tayari ameondoa ‘gundu’ baada ya juzi kufunga bao kali kwenye mazoezi na kuwafanya wenzake wampigie saluti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MALENGO: Kerr aota ubingwa Simba

>Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema anakiandaa kikosi chake  kuhakikisha anatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/16.

 

9 years ago

Habarileo

‘Yanga kuifunga Simba’

MSHAURI wa benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Abdallah Kibaden, ameipa nafasi kubwa klabu ya Yanga kushinda pambano la watani wa jadi Simba na Yanga litakalofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba yajinasibu kuifunga Kagera sugar

Kocha wa mabingwa wa zamani wa Tanzania Bara, Simba, Mserbia Goran Kopunovic akiipigia mahesabu ya ushindi timu ya Kagera Sugar.

 

11 years ago

Mwananchi

Kipimo cha uongozi si kuifunga Simba au Yanga

Wapo watu ambao huwezi kuwabadilisha akili katika Simba na Yanga hasa kwa kile wanachokiamini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kipimo cha uongozi siyo kuifunga Simba au Yanga

Wapo watu ambao huwezi kuwabadilisha akili katika Simba na Yanga hasa kwa kile wanachokiamini.

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA YASHINDWA KUIFUNGA EXPRESS YA UGANDA NYUMBANI, ZATOKA 0-0, UWANJA WA TAIFA LEO

 Magolikipa wa Simba, Manyika Peter na Ivo Mapunda  wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya mchezo wao wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya The Express ya Uganda, katika mchezo huo timu hizo hazikufunga. 
(Picha zote na Francis Dande) Katongole Henry akimtoka mshambulia wa Simba, Ramadhani Singano 'Mess'. Kipa wa The Express, Mutumba Ivan akiruka juu kuokoa moja ya hatari langoni mwake. Beki wa Simba, Nasoro Masoud akimtoka mchezaji wa The Express ya Uganda wakati wa mchezo wa kimataifa wa kirafiki...

 

10 years ago

Habarileo

Yanga wamuuza Sherman

KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kumuuza kwa mkataba wa miaka mitatu mshambuliaji wake raia wa Liberia, Kpah Sherman aliyejiunga na timu ya Mpumalanga Black Aces iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Afrika Kusini ya PSL msimu huu.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Olunga kuziba nafasi ya Sherman

MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga ametajwa kuingia kwenye rada za kujiunga na mabingwa watetezi wa ligi kuu, Yanga ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Kpah Sherman wa Liberia ambaye yuko mbioni kusajiliwa na Mpumalanga FC  ya Afrika Kusini.

Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, mmoja wa viongozi wa bechi la ufundi alisema kocha wao mkuu Hans Van Pluijm anamtaka mshambuliaji huyo kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao.

Kiongozi huyo ambaye...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Sherman kwenda Sauzi kesho

MSHAMBULIAJI wa Yanga Kpar Sherman raia wa Liberia  anatarajia kuondoka nchini kwenda Afrika Kusini katika timu ya Mpululanga black Acse kwa ajili ya kufanyiwa vipimo kabla ya kusajiliwa rasmi.

Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alithibitisha kuondoka kwa mchezaji huyo raia wa Liberia na kuwa  uongozi umempa baraka zote.

Alisema leo atakuwa anamalizia masuala ya mwisho ili aweze kupata visa na kesho atakuwa safarini kwenda Afrika kusini kwa ajili ya vipimo.

“Sherman anaenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani