‘Yanga kuifunga Simba’
MSHAURI wa benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Abdallah Kibaden, ameipa nafasi kubwa klabu ya Yanga kushinda pambano la watani wa jadi Simba na Yanga litakalofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Kipimo cha uongozi si kuifunga Simba au Yanga
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Kipimo cha uongozi siyo kuifunga Simba au Yanga
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Sherman aota kuifunga Simba
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Yanga yatamba kuifunga Platinum FC
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Simba yajinasibu kuifunga Kagera sugar
10 years ago
MichuziSIMBA YASHINDWA KUIFUNGA EXPRESS YA UGANDA NYUMBANI, ZATOKA 0-0, UWANJA WA TAIFA LEO
(Picha zote na Francis Dande)
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar