Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Yanga kuifunga Simba’

MSHAURI wa benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Abdallah Kibaden, ameipa nafasi kubwa klabu ya Yanga kushinda pambano la watani wa jadi Simba na Yanga litakalofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kipimo cha uongozi si kuifunga Simba au Yanga

Wapo watu ambao huwezi kuwabadilisha akili katika Simba na Yanga hasa kwa kile wanachokiamini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kipimo cha uongozi siyo kuifunga Simba au Yanga

Wapo watu ambao huwezi kuwabadilisha akili katika Simba na Yanga hasa kwa kile wanachokiamini.

 

10 years ago

Mwananchi

Sherman aota kuifunga Simba

Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman ni kama tayari ameondoa ‘gundu’ baada ya juzi kufunga bao kali kwenye mazoezi na kuwafanya wenzake wampigie saluti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yatamba kuifunga Platinum FC

Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm amesema hawatabweteka na ushindi wa awali wa 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe .

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba yajinasibu kuifunga Kagera sugar

Kocha wa mabingwa wa zamani wa Tanzania Bara, Simba, Mserbia Goran Kopunovic akiipigia mahesabu ya ushindi timu ya Kagera Sugar.

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA YASHINDWA KUIFUNGA EXPRESS YA UGANDA NYUMBANI, ZATOKA 0-0, UWANJA WA TAIFA LEO

 Magolikipa wa Simba, Manyika Peter na Ivo Mapunda  wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya mchezo wao wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya The Express ya Uganda, katika mchezo huo timu hizo hazikufunga. 
(Picha zote na Francis Dande) Katongole Henry akimtoka mshambulia wa Simba, Ramadhani Singano 'Mess'. Kipa wa The Express, Mutumba Ivan akiruka juu kuokoa moja ya hatari langoni mwake. Beki wa Simba, Nasoro Masoud akimtoka mchezaji wa The Express ya Uganda wakati wa mchezo wa kimataifa wa kirafiki...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani