Yanga yatamba kuifunga Platinum FC
Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm amesema hawatabweteka na ushindi wa awali wa 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo22 Nov
Kili Stars yatamba kuifunga Somalia
Grace Mkojera TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ leo inashuka dimbani mjini Addis Ababa, Ethiopia kuvaana na Somalia katika mchezo wa kwanza kuwania taji la michuano ya Chalenji iliyoanza jana.
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Yanga yatamba kutumbua majipu
NA ADAM MKWEPU
UONGOZI wa Yanga umetamba kuendelea kutumbua majipu katika Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuhakikisha wanashinda michezo yake mbalimbali ya ligi hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Yanga, Jerry Muro, alisema kuwa wamejiandaa kupata ushindi dhidi ya Stand United katika mchezo wao utakaochezwa leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, licha ya ‘figisufigisu’ wanazoendelea kufanyiwa na wapinzani wao.
“Tutaendelea kutumbua majipu, licha ya...
9 years ago
Habarileo23 Sep
‘Yanga kuifunga Simba’
MSHAURI wa benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Abdallah Kibaden, ameipa nafasi kubwa klabu ya Yanga kushinda pambano la watani wa jadi Simba na Yanga litakalofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Yanga yaichakaza Platinum
10 years ago
GPLYANGA YAICHABANGA PLATINUM 5-1
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Yanga yaipania Platinum
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Kipimo cha uongozi si kuifunga Simba au Yanga
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Yanga yaitumia salamu Platinum FC
10 years ago
TheCitizen01 Apr
Yanga plot Platinum ambush