Yanga yaipania Platinum
Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa ‘Master’ amesema wako tayari kucheza uwanja wowote na Platinum hata kama ni jangwani katika mchezo wao wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Mar
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Sports yaipania Yanga leo
Yanga kamili inashuka dimbani leo kuivaa African Sports ya hapa iliyopania kuwaduwaza kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Yanga yaichakaza Platinum
Yanga imepiga hatua moja kuifuata Etoile Sahel ya Tunisia baada ya kuichakaza Platinum ya Zimbabwe kwa mabao 5-1 na kujiweka katika mazingira mazuri ya kusonga mbele kwa hatua ya pili ya mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.
10 years ago
GPLYANGA YAICHABANGA PLATINUM 5-1
Wachezaji wa Yanga wakishangilia mojawapo ya mabao yao. Simon Msuva akiichambua ngome ya Platinum. Amissi Tambwe akipambana na mabeki wa FC Platinum wakati wa mechi ya leo.…
10 years ago
TheCitizen01 Apr
Yanga plot Platinum ambush
Kampala. A key trial in Uganda of 13 men accused of taking part in Al-Shabaab bombings that killed 76 people in 2010 was postponed Tuesday after the top prosecutor was shot dead.
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Yanga yatamba kuifunga Platinum FC
Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm amesema hawatabweteka na ushindi wa awali wa 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe .
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Yanga yaitumia salamu Platinum FC
Yanga ya Tanzania imeitumia salamu timu ya Platinum FC ya Zimbabwe kufuatia ushindi mfululizo katika ligi kuu ya Tanzania Bara.
10 years ago
Vijimambo29 Mar
30 Yanga SC kuifuata Platinum Jumatano
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/yanga-jjjj1.jpg)
Na Bertha Lumala, Dar es SalaamMsafara wa watu 30 wa Yanga SC, wakiwamo viongozi, utaondoka jijini hapa Jumatano kwenda Zimbabwe kwa ajili ya mechi yao ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Platinum FC, mtandao huu umeelezwa.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, katika mahojiano na mtandao huu jijini hapa muda mfupi uliopita, amesema kikosi chao kilichopiga kambi jijini hapa, kitasafiri kuwafuata wapinzani hao Aprili Mosi, yaani Jumatano.
Amesema kila kitu...
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Jeshi la Yanga SC laishukia Platinum
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wanashuka uwanjani leo kuikabili Platinum ya Zimbabwe katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Kombe la Shirikisho barani Afrika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania