30 Yanga SC kuifuata Platinum Jumatano
Na Bertha Lumala, Dar es SalaamMsafara wa watu 30 wa Yanga SC, wakiwamo viongozi, utaondoka jijini hapa Jumatano kwenda Zimbabwe kwa ajili ya mechi yao ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Platinum FC, mtandao huu umeelezwa.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, katika mahojiano na mtandao huu jijini hapa muda mfupi uliopita, amesema kikosi chao kilichopiga kambi jijini hapa, kitasafiri kuwafuata wapinzani hao Aprili Mosi, yaani Jumatano.
Amesema kila kitu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Yanga kuikwepa , kuifuata Azam
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Yanga yagoma kuifuata Simba Zanzibar
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya Yanga ni kama inawakwepa watani wao wa jadi Simba, baada ya kuachana na mpango wake wa kuweka kambi visiwani Zanzibar kujiandaa na michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoanza Jumamosi hii.
Awali mabingwa hao wa Ligi Kuu walipanga kuifuata Simba Zanzibar, lakini ghafla wamebadili msimamo wao na kuamua kubaki jijini Dar es Salaam kwa madai huenda wakapata tabu ya uwanja wa kufanyia mazoezi wakiwa Zanzibar.
Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha,...
10 years ago
GPLYANGA YAICHABANGA PLATINUM 5-1
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Yanga yaichakaza Platinum
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Yanga yaipania Platinum
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Yanga yaitumia salamu Platinum FC
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Yanga yatamba kuifunga Platinum FC
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Jeshi la Yanga SC laishukia Platinum
10 years ago
TheCitizen01 Apr
Yanga plot Platinum ambush