Yanga kuikwepa , kuifuata Azam
Yanga inaingia uwanjani kuikabili timu ngumu ya Al- Khartoom ya Sudan leo katika mchezo wa kukamilisha ratiba, lakini wenye kutoa msimamo halisi wa Kundi A la Mashindano ya Kagame.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Mar
30 Yanga SC kuifuata Platinum Jumatano
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/yanga-jjjj1.jpg)
Na Bertha Lumala, Dar es SalaamMsafara wa watu 30 wa Yanga SC, wakiwamo viongozi, utaondoka jijini hapa Jumatano kwenda Zimbabwe kwa ajili ya mechi yao ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Platinum FC, mtandao huu umeelezwa.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, katika mahojiano na mtandao huu jijini hapa muda mfupi uliopita, amesema kikosi chao kilichopiga kambi jijini hapa, kitasafiri kuwafuata wapinzani hao Aprili Mosi, yaani Jumatano.
Amesema kila kitu...
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Yanga yagoma kuifuata Simba Zanzibar
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya Yanga ni kama inawakwepa watani wao wa jadi Simba, baada ya kuachana na mpango wake wa kuweka kambi visiwani Zanzibar kujiandaa na michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoanza Jumamosi hii.
Awali mabingwa hao wa Ligi Kuu walipanga kuifuata Simba Zanzibar, lakini ghafla wamebadili msimamo wao na kuamua kubaki jijini Dar es Salaam kwa madai huenda wakapata tabu ya uwanja wa kufanyia mazoezi wakiwa Zanzibar.
Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha,...
10 years ago
Mtanzania17 Oct
CAG kuifuata IPTL Oman
![Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Zitto-Kabwe.jpg)
Zitto Kabwe
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema taarifa alizopewa na Ofisi ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), hadi sasa ni muhusika mmoja pekee ambaye hajahojiwa juu ya uchotwaji wa mabilioni ya fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow iliyofunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Amesema kwa sasa kazi itakayofanywa na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ni kufanya mahojiano na mmoja wa wahusika, Mkurugenzi wa...
9 years ago
Habarileo11 Nov
Samatta, Ulimwengu kuifuata Stars Dar
WASHAMBULIAJI mahiri wa Tanzania wanaoichezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mbwana Ally Samatta na Thomas Ulimwengu wataungana na timu ya taifa jijini Dar es Salaam badala ya kwenda Afrika Kusini ambako imepiga kambi.
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Msione haya kuifuata Kenya kwa 2016
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Yanga, Azam kikaangoni
9 years ago
Habarileo22 Aug
Yanga, Azam usihadithiwe
AZAM FC ina kibarua kigumu cha kufuta uteja kwa Yanga katika mechi za Ngao ya Jamii wakati zitakapomenyana leo katika mechi ya kufungua msimu wa 2015-16 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.