Msione haya kuifuata Kenya kwa 2016
Nawasabahi wasomaji wote wa kona hii ya hoja. Ni wiki nyingine tunakutana kuzungumzia yetu yanayohusu michezo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016
Tayari tumemalizana na mwaka 2015 na sasa tupo katika mwaka 2016, kila mtu anapanga mipango yake katika huu mwaka kuhakikisha kila kitu chake kinatimia. Wakati watu wakiwa wanapanga mipango yao hiyo, katika soka haya ndio matukio 10 ambayo watu wa soka wanasubiri kuyaona yakitokea kwa mwaka 2016. 1- Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon […]
The post Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Turekebishe haya kabla ya kura ya maoni 2016
MCHAKATO wa kuandikwa upya Katiba Mpya ya Tanzania ulioanza mwaka 2011, bado haujafikia tamati. Bado hatujapata Katiba Mpya inayotakiwa kwasababu kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura, 83 (The...
10 years ago
Mtanzania17 Oct
CAG kuifuata IPTL Oman
![Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Zitto-Kabwe.jpg)
Zitto Kabwe
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema taarifa alizopewa na Ofisi ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), hadi sasa ni muhusika mmoja pekee ambaye hajahojiwa juu ya uchotwaji wa mabilioni ya fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow iliyofunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Amesema kwa sasa kazi itakayofanywa na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ni kufanya mahojiano na mmoja wa wahusika, Mkurugenzi wa...
10 years ago
Vijimambo29 Mar
30 Yanga SC kuifuata Platinum Jumatano
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/yanga-jjjj1.jpg)
Na Bertha Lumala, Dar es SalaamMsafara wa watu 30 wa Yanga SC, wakiwamo viongozi, utaondoka jijini hapa Jumatano kwenda Zimbabwe kwa ajili ya mechi yao ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Platinum FC, mtandao huu umeelezwa.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, katika mahojiano na mtandao huu jijini hapa muda mfupi uliopita, amesema kikosi chao kilichopiga kambi jijini hapa, kitasafiri kuwafuata wapinzani hao Aprili Mosi, yaani Jumatano.
Amesema kila kitu...
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Yanga kuikwepa , kuifuata Azam
9 years ago
Habarileo11 Nov
Samatta, Ulimwengu kuifuata Stars Dar
WASHAMBULIAJI mahiri wa Tanzania wanaoichezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mbwana Ally Samatta na Thomas Ulimwengu wataungana na timu ya taifa jijini Dar es Salaam badala ya kwenda Afrika Kusini ambako imepiga kambi.
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Yanga yagoma kuifuata Simba Zanzibar
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
TIMU ya soka ya Yanga ni kama inawakwepa watani wao wa jadi Simba, baada ya kuachana na mpango wake wa kuweka kambi visiwani Zanzibar kujiandaa na michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoanza Jumamosi hii.
Awali mabingwa hao wa Ligi Kuu walipanga kuifuata Simba Zanzibar, lakini ghafla wamebadili msimamo wao na kuamua kubaki jijini Dar es Salaam kwa madai huenda wakapata tabu ya uwanja wa kufanyia mazoezi wakiwa Zanzibar.
Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha,...
9 years ago
Bongo525 Nov
Haya ndio mambo ambayo Nameless wa Kenya hushindwa kufanya kutokana na kuwa maarufu
![Nameless nje](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nameless-nje-300x194.jpg)
Maisha ya umaarufu yana raha na karaha zake, na faida na hasara zake.
Katika vitu ambavyo watu maarufu kama wanamuziki na waigizaji huwa wanakosa ni uhuru wa kufanya mambo binafsi kama watu wa kawaida.
Nimetembelea ukurasa wa Instagram wa msanii wa Kenya, Nameless na kukutana na post yake akielezea jinsi alivyojisikia vizuri alipopata uhuru wa kufanya mambo ambayo huwa hawezi kuyafanya akiwa Kenya.
Nameless ambaye yuko Marekani kwenye show amepost picha hii na kuandika:
“The thing I love...
9 years ago
Bongo522 Dec
Mwaka 2016 ni kazi tu – Shaa, aliweka ‘pending’ deal nono la Kenya ili kufanya muziki (Video)
![12345711_718016738342763_71673018_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12345711_718016738342763_71673018_n-300x194.jpg)
Shaa ameutangaza mwaka 2016 kuwa ni mwaka wa ‘hapa kazi tu.’
Akiongea kwenye kipindi cha Uhondo cha EFM kinachoendeshwa na Dina Marious na Swebe Santana, Shaa alisema alilazimika kutolea nje deal nono aliyokuwa aifanye Kenya ili kuutumia mwaka ujao nyumbani na kufanya muziki zaidi.
“Kuna kazi nyingine tena inabidi itoke mwezi wa tatu, na nyingine tena inabidi itoke mwezi wa sita, nyingine tena mwezi wa tisa. Kwahiyo utakuwa ni mwaka ambao nitakuwa niko busy sana. Nataka niutumie kimuziki...