CAG kuifuata IPTL Oman
Zitto Kabwe
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema taarifa alizopewa na Ofisi ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), hadi sasa ni muhusika mmoja pekee ambaye hajahojiwa juu ya uchotwaji wa mabilioni ya fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow iliyofunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Amesema kwa sasa kazi itakayofanywa na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ni kufanya mahojiano na mmoja wa wahusika, Mkurugenzi wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
IPTL yamfikisha Mnyika kwa CAG
KASHFA ya uchotajwa wa sh bilioni 200 katika akaunti ya Escrow kwenda kwa Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP) iliyonunua hisa za kampuni ya kufua umeme ya...
10 years ago
TheCitizen17 Oct
CAG wants more time to wind up IPTL audit
11 years ago
Mwananchi12 May
CAG Utouh achunguza Sh200 bilioni za IPTL
10 years ago
Habarileo17 Oct
Ofisi ya CAG yaendelea kukusanya vielelezo IPTL
OFISI ya Taifa ya Ukaguzi (NAO) imesema imeshindwa kukamilisha ukaguzi maalumu unaofanywa dhidi ya kampuni ya kufua umeme ya IPTL kwa wakati kutokana na kazi hiyo kuhitaji ukusanyaji wa kina wa vielelezo vinavyojitosheleza.
11 years ago
HabarileoPinda aagiza Takukuru, CAG wachunguze IPTL
11 years ago
TheCitizen12 Mar
CAG, Bunge committee to meet over $122m IPTL deal
11 years ago
TheCitizen12 May
13 key queries CAG will probe in IPTL sale saga
10 years ago
Vijimambo29 Mar
30 Yanga SC kuifuata Platinum Jumatano
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/yanga-jjjj1.jpg)
Na Bertha Lumala, Dar es SalaamMsafara wa watu 30 wa Yanga SC, wakiwamo viongozi, utaondoka jijini hapa Jumatano kwenda Zimbabwe kwa ajili ya mechi yao ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Platinum FC, mtandao huu umeelezwa.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, katika mahojiano na mtandao huu jijini hapa muda mfupi uliopita, amesema kikosi chao kilichopiga kambi jijini hapa, kitasafiri kuwafuata wapinzani hao Aprili Mosi, yaani Jumatano.
Amesema kila kitu...
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Yanga kuikwepa , kuifuata Azam