Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Olunga kuziba nafasi ya Sherman

MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga ametajwa kuingia kwenye rada za kujiunga na mabingwa watetezi wa ligi kuu, Yanga ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Kpah Sherman wa Liberia ambaye yuko mbioni kusajiliwa na Mpumalanga FC  ya Afrika Kusini.

Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, mmoja wa viongozi wa bechi la ufundi alisema kocha wao mkuu Hans Van Pluijm anamtaka mshambuliaji huyo kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao.

Kiongozi huyo ambaye...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Alikiba: Diamond hawezi kuziba nafasi yangu

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema msanii mwenzake wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ hawezi kuziba nafasi yake. Kauli hiyo ya Alikiba imekuja baada ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Shiwata kuziba nafasi ya Kepteni John Komba

kOMBAMTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) unatarajia kutaja majina ya wanachama wake watakaokabidhiwa nyumba 13 katika Kijiji cha Mwanzega, Mkuranga.

Mwenyekiti wa mtandao huo, Cassim Twaalib, alisema mkutano huo utafanyika katika ofisi zake zilizopo Ilala, Bungoni Dar es Salaam kuanzia saa nne asubuhi.

Twaalib aliongeza kwamba pia watatangazwa viongozi watakaoshika nafasi za uongozi zilizo wazi ambazo ni Makamu Mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na Marehemu Kepteni Komba, Katibu ambayo ilikuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee

mtu chee2Kulikuwa na utata kuhusu member mpya wa kundi la Mtu Chee ambalo hapo mwanzo liliundwa na rappers watatu, Stamina, Young D na Country Boy. Baada ya taarifa za Young Dee kuondoka kwenye kundi hilo, kulikuwa na taarifa kuwa Young Killer ambaye ameshiriki kwenye wimbo mpya wa kundi hilo, ‘Mtu Tatu’, kuwa ndio member mpya wa […]

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mashabiki wamkuna Olunga

MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga amefurahishwa na mashabiki wa soka Tanzania kujaa kwa wingi uwanjani na kushangilia timu za nje.

Olunga ambaye yuko nchini hivi sasa na kikosi chake kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Kagame, amesema hali hiyo ya ushabiki haipo nchini kwao.

Akizungumza na Raia Tanzania mshambuliaji huyo alisema mashabiki wa soka Tanzania wanaonekana kupenda mpira kuliko hata mashabiki wa nchini kwao.

Olunga alisema hali hiyo ya...

 

10 years ago

Habarileo

Yanga wamuuza Sherman

KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kumuuza kwa mkataba wa miaka mitatu mshambuliaji wake raia wa Liberia, Kpah Sherman aliyejiunga na timu ya Mpumalanga Black Aces iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Afrika Kusini ya PSL msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga kuwakosa Coutinho, Sherman

Dar es Salaam. Yanga ipo kwenye hatihati ya kuwakosa wachezaji wake Andrey Coutinho, Kpah Sherman na Jerryson Tegete ambao ni majeruhi katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika dhidi ya Platinum ya Zimbabwe.

 

10 years ago

Vijimambo

MUUAJI WA YANGA: OLUNGA, NI HATARI...


Yanga imepoteza kwa bao 2-1 katika mechi ya ufunguzi ya Kombe la Kagame.Gor Mahia, mabingwa wa Kenya ndiyo walioibuka na ushindi katika mchezo huo mtamu uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 katika kipindi cha kwanza.
Lakini Gor Mahia wakazidi kutamba katika kipindi cha pili kwa kupata bao la kwanza kupitia kwa mshambuliaji wake Michael Olunga.Olunga aliyekuwa akiisumbua ngome ya Yanga tokea kipindi cha kwanza alifunga bao hilo baada ya kuwatoka Kelvin Yondani na Mbuyu Twite.
Yanga walitangulia...

 

9 years ago

Mtanzania

Olunga mashakani kutua Simba

40FBFEF7E486A9775FA2A703837AF071*Gor Mahia wataja dau kubwa, Kerr asema hajaona alichofanya Chalenji

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MPANGO wa klabu ya Simba kumnasa Straika wa Gor Mahia, Michael Olunga, umeingia mushkeli baada ya klabu yake kuitaka Simba ilipe dola 200,000 (zaidi ya Sh milioni 400 za Tanzania), kitu ambacho ni kigumu kwa klabu ya Wekundu hao wa Msimbazi kulipa kwa sasa.

Simba ilianza kumfukuzia Olunga tangu kwenye michuano ya Kagame, iliyofanyika hapa nchini kwa Azam kuwa mabingwa, lakini walishindwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Sherman kwenda Sauzi kesho

MSHAMBULIAJI wa Yanga Kpar Sherman raia wa Liberia  anatarajia kuondoka nchini kwenda Afrika Kusini katika timu ya Mpululanga black Acse kwa ajili ya kufanyiwa vipimo kabla ya kusajiliwa rasmi.

Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alithibitisha kuondoka kwa mchezaji huyo raia wa Liberia na kuwa  uongozi umempa baraka zote.

Alisema leo atakuwa anamalizia masuala ya mwisho ili aweze kupata visa na kesho atakuwa safarini kwenda Afrika kusini kwa ajili ya vipimo.

“Sherman anaenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani