Olunga kuziba nafasi ya Sherman
MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga ametajwa kuingia kwenye rada za kujiunga na mabingwa watetezi wa ligi kuu, Yanga ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Kpah Sherman wa Liberia ambaye yuko mbioni kusajiliwa na Mpumalanga FC ya Afrika Kusini.
Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, mmoja wa viongozi wa bechi la ufundi alisema kocha wao mkuu Hans Van Pluijm anamtaka mshambuliaji huyo kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao.
Kiongozi huyo ambaye...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Alikiba: Diamond hawezi kuziba nafasi yangu
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema msanii mwenzake wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ hawezi kuziba nafasi yake. Kauli hiyo ya Alikiba imekuja baada ya...
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Shiwata kuziba nafasi ya Kepteni John Komba
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) unatarajia kutaja majina ya wanachama wake watakaokabidhiwa nyumba 13 katika Kijiji cha Mwanzega, Mkuranga.
Mwenyekiti wa mtandao huo, Cassim Twaalib, alisema mkutano huo utafanyika katika ofisi zake zilizopo Ilala, Bungoni Dar es Salaam kuanzia saa nne asubuhi.
Twaalib aliongeza kwamba pia watatangazwa viongozi watakaoshika nafasi za uongozi zilizo wazi ambazo ni Makamu Mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na Marehemu Kepteni Komba, Katibu ambayo ilikuwa...
9 years ago
Bongo502 Nov
Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee
![mtu chee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mtu-chee2-94x94.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Mashabiki wamkuna Olunga
MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga amefurahishwa na mashabiki wa soka Tanzania kujaa kwa wingi uwanjani na kushangilia timu za nje.
Olunga ambaye yuko nchini hivi sasa na kikosi chake kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Kagame, amesema hali hiyo ya ushabiki haipo nchini kwao.
Akizungumza na Raia Tanzania mshambuliaji huyo alisema mashabiki wa soka Tanzania wanaonekana kupenda mpira kuliko hata mashabiki wa nchini kwao.
Olunga alisema hali hiyo ya...
10 years ago
Habarileo04 Aug
Yanga wamuuza Sherman
KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kumuuza kwa mkataba wa miaka mitatu mshambuliaji wake raia wa Liberia, Kpah Sherman aliyejiunga na timu ya Mpumalanga Black Aces iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Afrika Kusini ya PSL msimu huu.
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Yanga kuwakosa Coutinho, Sherman
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aLQvu8fDSko/Vappzm25o6I/AAAAAAABPAI/hC4L-V1bOuQ/s72-c/Image_AI0E1531_0.jpg)
MUUAJI WA YANGA: OLUNGA, NI HATARI...
![](http://3.bp.blogspot.com/-aLQvu8fDSko/Vappzm25o6I/AAAAAAABPAI/hC4L-V1bOuQ/s640/Image_AI0E1531_0.jpg)
Yanga imepoteza kwa bao 2-1 katika mechi ya ufunguzi ya Kombe la Kagame.Gor Mahia, mabingwa wa Kenya ndiyo walioibuka na ushindi katika mchezo huo mtamu uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 katika kipindi cha kwanza.
Lakini Gor Mahia wakazidi kutamba katika kipindi cha pili kwa kupata bao la kwanza kupitia kwa mshambuliaji wake Michael Olunga.Olunga aliyekuwa akiisumbua ngome ya Yanga tokea kipindi cha kwanza alifunga bao hilo baada ya kuwatoka Kelvin Yondani na Mbuyu Twite.
Yanga walitangulia...
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Olunga mashakani kutua Simba
*Gor Mahia wataja dau kubwa, Kerr asema hajaona alichofanya Chalenji
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MPANGO wa klabu ya Simba kumnasa Straika wa Gor Mahia, Michael Olunga, umeingia mushkeli baada ya klabu yake kuitaka Simba ilipe dola 200,000 (zaidi ya Sh milioni 400 za Tanzania), kitu ambacho ni kigumu kwa klabu ya Wekundu hao wa Msimbazi kulipa kwa sasa.
Simba ilianza kumfukuzia Olunga tangu kwenye michuano ya Kagame, iliyofanyika hapa nchini kwa Azam kuwa mabingwa, lakini walishindwa...
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Sherman kwenda Sauzi kesho
MSHAMBULIAJI wa Yanga Kpar Sherman raia wa Liberia anatarajia kuondoka nchini kwenda Afrika Kusini katika timu ya Mpululanga black Acse kwa ajili ya kufanyiwa vipimo kabla ya kusajiliwa rasmi.
Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alithibitisha kuondoka kwa mchezaji huyo raia wa Liberia na kuwa uongozi umempa baraka zote.
Alisema leo atakuwa anamalizia masuala ya mwisho ili aweze kupata visa na kesho atakuwa safarini kwenda Afrika kusini kwa ajili ya vipimo.
“Sherman anaenda...