Alikiba: Diamond hawezi kuziba nafasi yangu
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema msanii mwenzake wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ hawezi kuziba nafasi yake. Kauli hiyo ya Alikiba imekuja baada ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Olunga kuziba nafasi ya Sherman
MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga ametajwa kuingia kwenye rada za kujiunga na mabingwa watetezi wa ligi kuu, Yanga ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Kpah Sherman wa Liberia ambaye yuko mbioni kusajiliwa na Mpumalanga FC ya Afrika Kusini.
Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, mmoja wa viongozi wa bechi la ufundi alisema kocha wao mkuu Hans Van Pluijm anamtaka mshambuliaji huyo kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao.
Kiongozi huyo ambaye...
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Shiwata kuziba nafasi ya Kepteni John Komba
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) unatarajia kutaja majina ya wanachama wake watakaokabidhiwa nyumba 13 katika Kijiji cha Mwanzega, Mkuranga.
Mwenyekiti wa mtandao huo, Cassim Twaalib, alisema mkutano huo utafanyika katika ofisi zake zilizopo Ilala, Bungoni Dar es Salaam kuanzia saa nne asubuhi.
Twaalib aliongeza kwamba pia watatangazwa viongozi watakaoshika nafasi za uongozi zilizo wazi ambazo ni Makamu Mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na Marehemu Kepteni Komba, Katibu ambayo ilikuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Jue2RfsEQyg/XujAvaTDi9I/AAAAAAAAV2s/2QMoeDWNeE48MLk2nGmmN_P9NhvBidSrgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
RAIS MAGUFULI: MUOMBEENI MAMA YANGU HAWEZI HATA KUJIGEUZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jue2RfsEQyg/XujAvaTDi9I/AAAAAAAAV2s/2QMoeDWNeE48MLk2nGmmN_P9NhvBidSrgCLcBGAsYHQ/s400/images.jpg)
Kauli hiyo ameitoa leo Juni 16, 2020, wakati wa hotuba yake ya kuvunja rasmi Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jijini Dodoma.
"Ninawaomba muendelee kumuombea mama yangu ambaye amekaa na Kiharusi hawezi akazungumza, hawezi akajigeuza, hawezi akala, anakula kwa kutumia mpira...
10 years ago
Bongo522 Oct
New Music: Mwana FA f/ Alikiba — Kiboko Yangu
10 years ago
Michuzi22 Oct
10 years ago
Bongo503 Sep
Collabo ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ yanukia
9 years ago
Bongo502 Nov
Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee
![mtu chee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mtu-chee2-94x94.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
AY: Diamond hawezi kunifunika
NYOTA wa muziki wa Bongo fleva nchini, Ambwene Yesaya ‘AY’, amesema msanii mwenzake, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’, hawezi kuathiri muziki wake kwani kila mtu ana malengo yake katika fani hiyo....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-vw2jjw4uc*wCgkxZotEroeypXyZYcAYjt1IF8fWJlFIOxLQ5vx2YKVTxBUkZzKkZLRnsySQYMvZ1U7qEgR2uc*/zarii.jpg)
MUME: ZARI HAWEZI KUZAA NA DIAMOND