Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AY: Diamond hawezi kunifunika

NYOTA wa muziki wa Bongo fleva nchini, Ambwene Yesaya ‘AY’, amesema msanii mwenzake, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’, hawezi kuathiri muziki wake kwani kila mtu ana malengo yake katika fani hiyo....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MUME: ZARI HAWEZI KUZAA NA DIAMOND

Stori: Kampala, Uganda Oohoo! Wakati staa mkubwa wa muziki wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akichekelea kitendo cha mpenzi wake wa sasa, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ kunasa mimba yake, habari ya mjini huko Kampala, Uganda ni juu ya aliyekuwa mume wa mwanamama huyo, Ivan Ssemwanga kufunguka na kusema: “Naapa Zari hawezi kuzaa na Diamond.” Staa mkubwa wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alikiba: Diamond hawezi kuziba nafasi yangu

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema msanii mwenzake wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ hawezi kuziba nafasi yake. Kauli hiyo ya Alikiba imekuja baada ya...

 

9 years ago

Bongo5

Zari hawezi kuhamia Tanzania moja kwa moja — Diamond

Diamond Platnumz na Zari The Boss Lady tayari wameziunganisha familia zao kwa kumpata mtoto wao wa kwanza Tiffah, lakini hakuna mpango wa mrembo huyo Mganda kuhamia moja kwa moja Tanzania ili kutengezeza familia moja. Diamond a.k.a Baba Tiffah licha ya kuwa amekuwa akitoa ahadi ya kufunga ndoa na Zari bila kusema lini, amesema kuwa hakuna […]

 

10 years ago

Habarileo

DC ajisalimisha, asema hawezi kugoma

MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo amejisalimisha kwenye Baraza la Maadili kwa Viongozi wa Umma jana alfajiri jijini Dar es Salaam baada ya Polisi juzi kuamriwa kumkamata. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam mbele ya Baraza la Maadili kwa Watumishi wa Umma, lililokuwa limekaa kusikiliza mashauri mbalimbali ya viongozi wa umma yaliyowasilishwa na Sekretarieti ya Maadili kwa Viongozi wa Umma, Gambo alisema taarifa za mwito huo hakuzipata.

 

10 years ago

Vijimambo

TIBAIJUKA ASEMA HAWEZI KUJIUZULU


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akizungumza na waandishi wa habari kwenye hotel ya Hyatt Regency Dar Es Salaam, The Kilimanjaro  
.
Dar es Salaam,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Profesa Anna Tibaijuka,amekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia sakata la Akaunti ya Escrow,huku akisema haoni sababu ya yeye kujiuzulu kutokana na kudaiwa kuhusika katika sakata hilo.

 Alisema hawezi kufikia uamuzi wa kujiuzulu kwa kuwa hana kosa kwani...

 

10 years ago

GPL

DAKTARI: KAJALA HAWEZI KUZAA TENA!

Imelda mtema
MAJANGA juu ya majanga! Siku chache kufuatia kufanyiwa kipimo na kubainika kuna tatizo kwenye ubongo baada ya kupigwa chupa kichwani kwenye Klabu ya New Maisha, Masaki jijini Dar, mkali wa sinema za Bongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amepata pigo lingine la daktari kumwambia hawezi kuzaa tena! Mkali wa sinema za Bongo, Kajala Masanja ‘Kay’. Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala alipewa maelezo...

 

11 years ago

GPL

JOHARI: RAY HAWEZI KUMUOA CHUCHU

Na Musa Mateja
Blandina Chagula ‘Johari’, juzikati alifunguka kwamba watu waachane na kusikiliza habari za matapeli wa mapenzi, maana suala la Vicent Kigosi ‘Ray’, kumvisha pete mchumba wake wa sasa Chuchu Hans si la kweli na kwamba huo ni utapeli. Staa wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akizungumza Ijumaa Mei 13, mwaka huu Johari alisema hana taarifa zozote za Ray kumvisha...

 

11 years ago

GPL

HAWEZI KUKUFANYIA KILA KITU, RIDHIKA! - 2

HAPA kwenye Love & Life ni mahali sahihi kabisa pa kupanuana mawazo kuhusu maisha na mapenzi. Ukiwa mdau wa ukurasa huu utaendelea kuimarisha uhusiano wako siku hadi siku. Napokea pongezi zenu wasomaji, mlizonitumia baada ya makala ya utangulizi wiki iliyopita. Ilikuwa ni mara ya kwanza kuandikia safu hii nikitokea Magazeti ya Risasi Mchanganyiko na Ijumaa. Naahidi kuboresha zaidi ili mpate kitu kizuri zaidi na uhusiano uwe wenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Fabregas:Messi hawezi kuondoka Barcelona

Mchezaji wa kiungo cha kati katika kilabu ya Chelsea Cesc Fabregas anaamini kwamba Lionel Messi hataondoka Barcelona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani