Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fabregas:Messi hawezi kuondoka Barcelona

Mchezaji wa kiungo cha kati katika kilabu ya Chelsea Cesc Fabregas anaamini kwamba Lionel Messi hataondoka Barcelona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TFF: Messi yupo huru kuondoka Simba

Kiungo wa Simba, Ramadhan Singano ‘Messi. Said Ally, Dar es Salaam
RASMI! Baada ya kutokea sintofahamu kwa takribani mwezi mmoja, hatimaye Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetoa tamko kwamba kiungo wa Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’, kwa sasa yupo huru kutokana na klabu hiyo kuuvunja mkataba wake. Kwa muda wote huo, Simba ilikuwa kwenye mgogoro wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Messi aing’arisha Barcelona

Mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi amekuwa shujaa baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Espanyol

 

10 years ago

GPL

MESSI ASHEREKEA MIAKA 14 NDANI YA BARCELONA

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina na Barcelona, Lionel Messi .
Picha ya kitambulisho cha Lionel Messi .…

 

9 years ago

TheCitizen

Barcelona have not missed Messi, says Xavi Hernandez

Barcelona legend Xavi Hernandez says his old team has not missed the world’s best player Lionel Messi, ahead of this weekend’s first clash of the season with Real Madrid.

 

9 years ago

GPL

UKWEPAJI KODI KUMUONDOA MESSI BARCELONA AU KUMPELEKA JELA

Lionel Messi Messi na baba yake Jorge. STAA wa soka duniani ambaye anayeichezea timu ya mabingwa wa La Liga 2014/2015, Barcelona, Lionel Messi anatarajiwa kupandishwa kizimbani kujibu tuhuma za ukwepaji wa kodi nchini humo. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Mamlaka ya Mapato Hispania, ilisema kuwa kama hatalipa kodi hiyo mapema iwezekananvyo, atapandishwa kizimbani au… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Pique: Barcelona bila Lionel Messi hakuna kitu

Gerard PiqueBARCELONA, HISPANIA

BEKI wa Barcelona, Gerard Pique, amesema klabu hiyo bila ya mshambuliaji wake, Lionel Messi, haiwezi kufika kokote.

Barcelona juzi ilikubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Sevilla katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania, ambapo kwa sasa klabu hiyo inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi na wapinzani wao Real Madrid ikishika nafasi ya nne.

Messi kwa sasa ni majeruhi ambapo atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili hivyo kwa sasa klabu hiyo imeanza kuyumba kutokana na...

 

9 years ago

StarTV

BARCELONA YA LIONEL MESSI YAPOTEZA KOMBE LA KWANZA MSIMU HUU….

2B72BF8600000578-3201312-image-a-9_1439846291599 Baada ya miaka 31 kupita, Athletic Bilbao wametwaa kombe la kwanza baada ya kuinyuka Barcelona kwa ushindi wa jumla wa magoli 5-1 katika mechi mbili za fainali ya Spanish Super Cup. Jana usiku, Barcelona wamelazimishwa sare ya 1-1 katika mchezo wa marudiano wa kombe hilo uliopigwa dimba la Camp Nou, wakati katika mechi ya kwanza walikula kichapo cha 4-0Lionel Messi aliwafungia Barca goli la kuongoza dakika ya 43′ na kufufua matumaini ya kupindua matokeo ya awali, lakini yule yule...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

Remembering Alessandro Nesta's perfect tackle on Barcelona's Lionel Messi

Remembering Alessandro Nesta's perfect tackle on Barcelona's Lionel Messi  GIVEMESPORTPochettino wants Messi union at Newell’s & World Cup win for Barcelona icon in 2022  Goal.comLionel Messi urges Barcelona to sign Serie A’s best defender  Everything BarcaLionel Messi gets involved in the 'toilet roll challenge' - and it's class  GIVEMESPORT'We have to kick him, once each!' - Melo opens up on Brazil's plans to stop Messi  Goal.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Al Jazeera English

Barcelona players including Messi take pay cut amid virus crisis

Barcelona players including Messi take pay cut amid virus crisis  Al Jazeera EnglishDo Barcelona really need to impose a wage cut on their players? | La Liga  ESPN UKBarcelona says it will reduce player wages to 'minimize economic impact' caused by coronavirus  CNN InternationalBarcelona to reduce wages during the coronavirus outbreak  Sky SportsBarcelona looking to to cut wages with La Liga suspended due to coronavirus  GoalView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani