UKWEPAJI KODI KUMUONDOA MESSI BARCELONA AU KUMPELEKA JELA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/10326470_710565715645350_254671663_n.jpg)
Lionel Messi Messi na baba yake Jorge. STAA wa soka duniani ambaye anayeichezea timu ya mabingwa wa La Liga 2014/2015, Barcelona, Lionel Messi anatarajiwa kupandishwa kizimbani kujibu tuhuma za ukwepaji wa kodi nchini humo. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Mamlaka ya Mapato Hispania, ilisema kuwa kama hatalipa kodi hiyo mapema iwezekananvyo, atapandishwa kizimbani au… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Kikwete: Sihusiki na ukwepaji kodi
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Maji Marefu afunguka ukwepaji kodi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani (CCM), amesema hajawahi kukwepa kodi na wala hatarajii kufanya hivyo kwa kuwa anajua umuhimu wake.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ngonyani ambaye ni maarufu kwa jina la Profesa Maji Marefu, alisema yeyote anayemtuhumu kuwa ni mkwepa kodi, anataka kumchonganisha na Serikali katika kipindi hiki ambacho Rais Dk. John Magufuli anahimiza wananchi kulipa kodi.
Profesa Maji Marefu alitoa...
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Misamaha, ukwepaji kodi unavyotesa Watanzania
10 years ago
Habarileo21 Jan
Kamishna Mkuu TRA ‘alia’ na misamaha, ukwepaji kodi
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inaweza kukusanya kiasi cha Sh trilioni tano kwa mwaka kutoka kiasi cha Sh trilioni 3.9 za sasa kwa mwaka, endapo misamaha ya kodi na ukwepaji wa kodi utadhibitiwa.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UqXcLrhCRHE/Vmq90yy3DnI/AAAAAAAILpU/uJute1K2IsQ/s72-c/IMG_7727.jpg)
WATUHUMIWA 40 WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA UKWEPAJI KODI.
Kati ya hao, watuhumiwa 26 ni watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)na watumishi 03 kutoka Bandari kavu (ICD) YA AZAM wanatuhumiwa...
11 years ago
Zitto Kabwe, MB21 Apr
PAC imeanza uchunguzi kuhusu ukwepaji kodi unaofanywa na makampuni ya Kimataifa
PAC imeanza uchunguzi kuhusu ukwepaji kodi unaofanywa na makampuni ya kimataifa.
Leo tarehe 30 Machi 2014, kamati ya BUNGE ya PAC imeanza rasmi uchunguzi kuhusu ukubwa wa tatizo la ukwepaji kodi na utoroshwaji wa fedha unaofanywa na makampuni ya kimataifa ( multinational corporations). Uchunguzi huu unatokana azimio la umoja wa kamati za PAC za nchi za SADCOPAC lilioamuliwa Arusha, Tanzania mwezi Septemba mwaka 2013 ( Azimio lilisomeka – PACs should initiate investigations on the extent of...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ3Cpv0E0qrbHIpzDqEJo1F9wu0lPrjU2bI-hW2WSQZrjYOkeVVBzPbIwYrDBYZvjiQfqLUx2na2p11k8t88-vx-/AmosMakala.jpg)
MHE AMOS MAKALLA (MB): TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKWEPAJI KODI SH 662,500
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cVNj2g_harM/U72Y-U-a5jI/AAAAAAAF0OE/nXBe5xaahXs/s72-c/download+(2).jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKWEPAJI KODI SH 662,500 - MHE AMOS MAKALLA (MB)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cVNj2g_harM/U72Y-U-a5jI/AAAAAAAF0OE/nXBe5xaahXs/s1600/download+(2).jpg)