WATUHUMIWA 40 WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA UKWEPAJI KODI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-UqXcLrhCRHE/Vmq90yy3DnI/AAAAAAAILpU/uJute1K2IsQ/s72-c/IMG_7727.jpg)
JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa 40 ambao wanahojiwa kwa tuhuma za kula njama na kuikosesha serikali mapato. Uchunguzi unafanywa kwa pamoja na maafisa wa Jeshi la Polisi na Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kwa lengo la kubaini jinsi ambavyo makontena 329 na mengine 2489 yalivyotolewa bandarini kinyume cha taratibu.
Kati ya hao, watuhumiwa 26 ni watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)na watumishi 03 kutoka Bandari kavu (ICD) YA AZAM wanatuhumiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/0Xtn-DEkIBA/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5B-ypsnWBOk/Xrvm95noidI/AAAAAAALqEE/EFKPFfXM9pADMwBHW90bZ615-qmAbbHlgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WATU WANNE WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA KUMUUA BABA YAO MZAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5B-ypsnWBOk/Xrvm95noidI/AAAAAAALqEE/EFKPFfXM9pADMwBHW90bZ615-qmAbbHlgCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Katavi linawashikilia watu wanne,watatu wakiwa familia moja kwa tuhuma za kumuuwa kwa kumkata na kitu chenye ncha kali shingoni na sehemu za siri Baba yao Lumba Nhalima(57).
Tukio hilo limetokea jana majira ya saa 3 usiku katika kijiji cha Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoa wa Katavi wakati marehemu akitoka kunywa pombe na kuelekea nyumbani.
Akithibitisha tukio hilo,Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Benjamin Kuzaga alisema, siku ya tukio watuhumiwa walimnywesha pombe...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s72-c/mngulujuly152014.jpg)
watuhumiwa 25 wakamatwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za ugaidi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s1600/mngulujuly152014.jpg)
Jinai nchini, (DCI) Kamishna Isaya Mngulu.Kufuatia tukio la mlipuko wa bomu siku ya tarehe 7/7/2014 majira ya saa 22.15 usiku katika mgahawa wa VAMA, eneo la Uzunguni Jijini Arusha, ambapo watu wanane walijeruhiwa, Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa 25 kwa uchunguzi.Kufuatia uchunguzi huo kati yao watu sita watafikishwa mahakamani mapema iwezakanavyo. Watuhumiwa watakaofikishwa Mahakamani kwa tukio hilo ni: SHAABAN MUSSA MMASA @ JAMAL, Umri miaka 26...
9 years ago
StarTV29 Dec
Watu 18 washikiliwa na Polisi Morogoro  kwa Tuhuma Za Makosa Tofauti
Polisi mkoani Morogoro inawashikilia watu 18 kwa makosa tofauti ambapo watu wanane wanashikiliwa kwa tuhuma za kukutwa na silaha mbili aina ya Shot Gun zikiwa na Risasi 12 na wengine wanane wakijihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya pamoja na wahamiaji haramu wawili raia wa Ethiopia wakiwa katika harakati za kuelekea nchini ya Afrika Kusini.
Kukamatwa kwa watuhumiwa hao kunatokana na jeshi la polisi mkoani humo kuendesha oparesheni maalum kwa kushilikiana na raia wema dhidi ya...
10 years ago
StarTV04 Feb
Watatu washikiliwa kwa tuhuma za kuvunja kituo cha Polisi.
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Polisi mkoani Morogoro inawashikilia wakazi watatu wa Mgeta wilayani Kilombero mkoani Morogoro kwa tuhuma za kujihusisha na uvunjaji wa kituo kidogo cha Polisi Mgeta na kuiba baadhi vya vielelezo vya jeshi hilo pamoja Bunduki aina ya SMG yenye risasi 30.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Kamishna Msaidizi wa Polisi Leonard Paul amewataja watuhumiwa wanaoshikiliwa na jeshi hilo kuwa ni pamoja na Ramadhan Shewele mwenye miaka 20, Khamis Ahmed miaka 45 na Ignas...
10 years ago
StarTV16 Apr
Watuhumiwa 57 washikiliwa Polisi Iringa.
Na Oliver Motto,
Iringa.
Watu 57 wanashikiliwa na Polisi mkoa wa Iringa wakituhumiwa kuhusika katika vurugu zilizotokana na kifo cha mwanafunzi Hamfrey Ng’amilo mwenye umri wa miaka 15 aliyefariki kwa kugongwa na gari katika barabara ya Iringa inayoelekea wilayani Kilolo mkoani humo.
Vurugu hizo zilizimwa na Polisi kwa kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wananchi waliokuwa wamefunga barabara na kuchoma moto matairi ya magari.
Kufuatia vurugu hizi, polisi Iringa tayari imewatia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AuRRxvOL4xY/XtesOcC_kNI/AAAAAAALshA/qx5AlXlhYlAUUNuWIZyrb8p44qAHGwJJgCLcBGAsYHQ/s72-c/29c207d22aa64313c559ca903989666e.jpg)
JESHI LA POLISI LAKAMATA WATATU KWA TUHUMA ZA KUMUUA DEREVA WA UBER
![](https://1.bp.blogspot.com/-AuRRxvOL4xY/XtesOcC_kNI/AAAAAAALshA/qx5AlXlhYlAUUNuWIZyrb8p44qAHGwJJgCLcBGAsYHQ/s400/29c207d22aa64313c559ca903989666e.jpg)
Watuhumiwa hao ni Godson Laurent Mzaura,(29),Mkazi wa Mbezi Beach,Mpiga picha, Said Mohamed Mahadhi (38),Mkazi wa Afrikana,Fundi simu na Denis Urassa @ Pasua,(45), Mkazi wa Makongo Juu,Fundi simu.
Mnamo tarehe 26.05.2020 Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dsm lilipata taarifa kutoka kwa mke wa marehemu...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za mauaji na uhalifu mwingine uliofanyika Oktoba mwaka huu, mkoani humo kwa nyakati tofauti. Kamanda wa Polisi mkoani hapa,...
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATUHUMIWA NANE KWA KOSA LA KUPATIKANA NA VIFAA VYA KUVUNJIA