Kamishna Mkuu TRA ‘alia’ na misamaha, ukwepaji kodi
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inaweza kukusanya kiasi cha Sh trilioni tano kwa mwaka kutoka kiasi cha Sh trilioni 3.9 za sasa kwa mwaka, endapo misamaha ya kodi na ukwepaji wa kodi utadhibitiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Misamaha, ukwepaji kodi unavyotesa Watanzania
10 years ago
Mwananchi22 Nov
TRA yalia na misamaha ya kodi
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Zitto awavaa TRA, akerwa na Misamaha ya kodi
11 years ago
Tanzania Daima09 May
JK amteua Bade Kamishna Mkuu TRA
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Rished Bade kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, uteuzi huo umeanza Mei 6. Bade anachukua...
11 years ago
Dewji Blog01 Oct
Rais amteua Bw. Mwaseba kuwa Naibu Kamishna Mkuu TRA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Lusekelo Mwaseba (pichani) kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, leo, Jumatano, Oktoba Mosi, 2014, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, imesema kuwa uteuzi huo unaanza leo.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Mwaseba alikuwa Kamishna wa Uchunguzi katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Imetolewa na;
Kurugenzi ya Mawasiliano ya...
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AMTEUA RISHED BADE KUWA KAMISHNA MKUU WA TRA
9 years ago
Michuzi
BREAKING NYUZZZZZZ......: RAIS MAGUFULI AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA MKUU WA TRA

Hatua hiyo imekuja baada kubaini kupitishwa kwa makontena zaidi ya 300 na kusababishia hasara Serikali ya zaidi ya shilingi bilioni 80.
Rais Magufuli pia amemteua Katibu...
11 years ago
MichuziRais Kikwete amteua Bwana Rished BADE kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, uteulzi huu umaanza tarehe 06 Mei, 2014. Bwana BADE anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Bwana Harry KITILYA ambaye alistaafu tarehe 14 Desemba,2013.
Kabla ya uteuzi huo, Bwana BADE alikuwa Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania tangu Septemba,2012 na baadaye kukaimu...
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Kikwete: Sihusiki na ukwepaji kodi