Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto awavaa TRA, akerwa na Misamaha ya kodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema misamaha ya kodi imepanda kutoka Sh1.4 trilioni mwaka 2012/13 hadi Sh1.8 trilioni mwaka 2013/14, kueleza kuwa chanzo ni misamaha ya kodi katika miradi mikubwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TRA yalia na misamaha ya kodi

>Misamaha ya kodi imekuwa ikilikosesha taifa zaidi ya Sh100 bilioni kwa mwezi, hatua ambayo Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) inaona ni kikwazo katika kufikia malengo ya ukusanyaji kodi.

 

10 years ago

Habarileo

Kamishna Mkuu TRA ‘alia’ na misamaha, ukwepaji kodi

 Kamishna Mkuu wa TRA, Rished BadeMAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inaweza kukusanya kiasi cha Sh trilioni tano kwa mwaka kutoka kiasi cha Sh trilioni 3.9 za sasa kwa mwaka, endapo misamaha ya kodi na ukwepaji wa kodi utadhibitiwa.

 

10 years ago

Habarileo

Zitto akiri JK amefuta misamaha ya kodi

Mwenyekiti wa PAC, Kabwe ZittoKAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC), imekiri kuwa hadi sasa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ipo, lakini pamoja na kusainiwa na Rais bado haijaanza kutekelezwa jambo linalosababisha misamaha ya kodi izidi kupaa.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Misamaha ya kodi ni hasara’

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema misamaha ya kodi imepanda kutoka Sh1.4 trilioni mwaka 2012/13 hadi Sh1.8 trilioni mwaka 2013/14, chanzo ni misamaha ya kodi katika miradi mikubwa.

 

10 years ago

Habarileo

Washinikiza misamaha ya kodi ifutwe

WADAU wa asasi kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, wameishauri serikali kufuta misamaha ya kodi ili fedha zitakazokusanywa ziweze kutumika kuboresha na kuimarisha huduma za kijamii ikiwemo elimu, afya na kilimo.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitaondoa misamaha ya kodi

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amemaliza kampeni zake mkoani hapa, akiahidi kuwakaba koo wawekezaji wakubwa wanaonufaika na misamaha ya kodi isiyokuwa na tija kwa nchi.

 

10 years ago

Habarileo

Misamaha ya kodi yachefua wabunge

Zitto KabweKAMATI ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Serikali kufanya kila linalowezekana inapunguza misamaha ya kodi ambayo katika mwaka wa fedha 2013/14 ilipaa kwa Sh bilioni 340 kutoka Sh trilioni 1.48 hadi Sh trilioni 1.82 mwaka uliopita.

 

11 years ago

Habarileo

Misamaha ya kodi yapigwa kalenda

KAMATI ya Bunge ya Bajeti, imekataa kubariki Muswada wa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na Muswada wa Sheria ya Utawala wa Kodi, ambayo ilikuwa iwasilishwe bungeni Jumatatu ijayo na kujadiliwa, ili misamaha ya kodi isiyo na tija ifutwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Misamaha, ukwepaji kodi unavyotesa Watanzania

Inashangaza kuona taifa lina watu wengi maskini, Serikali inasamehe wawekezaji mabilioni kila mwaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani