Washinikiza misamaha ya kodi ifutwe
WADAU wa asasi kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, wameishauri serikali kufuta misamaha ya kodi ili fedha zitakazokusanywa ziweze kutumika kuboresha na kuimarisha huduma za kijamii ikiwemo elimu, afya na kilimo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Jan
‘Misamaha ya kodi ni hasara’
10 years ago
Habarileo20 Jan
Misamaha ya kodi yachefua wabunge
KAMATI ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Serikali kufanya kila linalowezekana inapunguza misamaha ya kodi ambayo katika mwaka wa fedha 2013/14 ilipaa kwa Sh bilioni 340 kutoka Sh trilioni 1.48 hadi Sh trilioni 1.82 mwaka uliopita.
10 years ago
Mwananchi22 Nov
TRA yalia na misamaha ya kodi
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Magufuli: Nitaondoa misamaha ya kodi
11 years ago
Habarileo28 Jun
Misamaha ya kodi yapigwa kalenda
KAMATI ya Bunge ya Bajeti, imekataa kubariki Muswada wa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na Muswada wa Sheria ya Utawala wa Kodi, ambayo ilikuwa iwasilishwe bungeni Jumatatu ijayo na kujadiliwa, ili misamaha ya kodi isiyo na tija ifutwe.
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Misamaha, ukwepaji kodi unavyotesa Watanzania
10 years ago
Habarileo22 Jan
Zitto akiri JK amefuta misamaha ya kodi
KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC), imekiri kuwa hadi sasa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ipo, lakini pamoja na kusainiwa na Rais bado haijaanza kutekelezwa jambo linalosababisha misamaha ya kodi izidi kupaa.
11 years ago
Habarileo01 Jul
'Tunaunga mkono upunguzaji misamaha ya kodi'
TAASISI ya Sekta Binafsi (TPSF) inaunga mkono hatua ya Serikali ya kupunguza misamaha ya kodi, lakini imetaka utekelezaji wake kuwa makini. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na TPSF, hatua ya kupunguza misamaha ya kodi ni nzuri, lakini utekelezaji wake unatakiwa kufanywa kwa umakini ili isije kuzuia ukuaji katika sekta.
11 years ago
Habarileo08 Dec
Sakata la misamaha ya kodi laibuka upya
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeibua upya matatizo ya misamaha ya kodi bungeni na kubainisha wazi kuwa tatizo hilo linazidi kuwa kubwa siku hadi siku, ambapo kwa mwaka wa fedha 2011/2012 misamaha ya kodi iliyotolewa ilikuwa ni asilimia 13 sawa na bajeti ya mwaka huo wa fedha iliyokuwa Sh trilioni 13.5.