DC ajisalimisha, asema hawezi kugoma
MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo amejisalimisha kwenye Baraza la Maadili kwa Viongozi wa Umma jana alfajiri jijini Dar es Salaam baada ya Polisi juzi kuamriwa kumkamata. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam mbele ya Baraza la Maadili kwa Watumishi wa Umma, lililokuwa limekaa kusikiliza mashauri mbalimbali ya viongozi wa umma yaliyowasilishwa na Sekretarieti ya Maadili kwa Viongozi wa Umma, Gambo alisema taarifa za mwito huo hakuzipata.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DQzFsIcQAW4/VJKukbAVbiI/AAAAAAAAU_0/VHX_M6QInfM/s72-c/1.jpg)
TIBAIJUKA ASEMA HAWEZI KUJIUZULU
![](http://2.bp.blogspot.com/-DQzFsIcQAW4/VJKukbAVbiI/AAAAAAAAU_0/VHX_M6QInfM/s1600/1.jpg)
.
Dar es Salaam,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Profesa Anna Tibaijuka,amekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia sakata la Akaunti ya Escrow,huku akisema haoni sababu ya yeye kujiuzulu kutokana na kudaiwa kuhusika katika sakata hilo.
Alisema hawezi kufikia uamuzi wa kujiuzulu kwa kuwa hana kosa kwani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-FV1EC7DACjPO-gmeVUMVs7TxEQqS0cPcQ3Tt0gpUsKFMapzE-lV3jAve4saTBRUlhSYnBGs95hPuaoi56WztkX/jknjkjk.jpg?width=650)
NISHA ASEMA HAWEZI KUMRUDIA NAY WA MITEGO
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/29.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA WANGAMA AJISALIMISHA CCM, ASEMA WENGI WAKO NYUMA YAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9Yis6-MiGx1S5PLeTZuR9Yuwc71w2xgWaIyHKX*pljHQKPUIlJupV9Cmd7mHFZ5FhoTcl6aZ4wjZZNiytTl2g1r*/HAPPINESSMAGESE2.jpg?width=720)
MILLEN HAPPINESS MAGESE: ASIMULIA AMBAVYO HAWEZI KUBEBA UJAUZITO, ASEMA YUPO TAYARI KUASILI
5 years ago
CCM Blog24 May
RAIS KENYATTA NAYE AKUBALI YA JPM, ASEMA HAWEZI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA ZA WAKENYA KUKAA NDANI MILELE
![Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/BC18/production/_112425184_kenyatta.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
DC Gambo ajisalimisha
HATIMAYE Mkuu wa Wilaya (DC), wa Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amejisalimisha kwenye Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma jijini Dar es Salaam baada ya kutolewa amri...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Mwema ajisalimisha uraiani
ALIYEKUWA Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Said Mwema, amewataka Watanzania wampokee vizuri anapoingia uraiani baada ya kumaliza muda wake wa utumishi. Utawala wa Mwema ulitiwa doa na matukio...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Nay ajisalimisha TRA
Mbongo Fleva Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’.
MUSA MATEJA
KUFUATIA kasi ya utumbuaji majipu wa Rais DK. John Pombe Magufuli kuendelea kutia hofu kwa wenye mali, Mbongo Fleva Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’, juzikati alijikuta akijisalimisha kwa kuanika baadhi ya mali zake halali, hasa magari na kuwaita maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kumkagua muda wowote.
NYUMBANI KWAKE Nay aliyasema hayo Januari 4, mwaka huu nyumbani kwake Kimara ya Korogwe jijini Dar mara baada ya...