Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS KENYATTA NAYE AKUBALI YA JPM, ASEMA HAWEZI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA ZA WAKENYA KUKAA NDANI MILELE


Rais Uhuru Kenyatta wa KenyaHaki miliki ya pichaAFPImage captionRais Uhuru Kenyatta wa KenyaRais Uhuru Kenyatta ametangaza mipango ya kusaidia biashara na raia kusonga mbele katika kipindi hiki cha mdororo wa kiuchumi kwasababu ya janga la virusi vya coronaRais amehutubia taifa kutoka Ikulu ya rais, Nairobi na kusema kwamba mipango hiyo itagharimu shilingi bilioni 53.7.Katika hotuba yake, rais alisema pesa hizo zitagawanywa katika sekta muhimu kama vile miundo mbinu, elimu, biashara ndogo ndogo na za wastani, afya,...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Spika Ndugai asema 'Hatuwezi kuchukua hatua kama za Ulaya'

Wakati nchi mbalimbali barani Afrika zikichukua hatua ya kudhibiti kuenea kwa virusi vya corona, Spika wa Tanzania, Job Ndugai amesema kuwa taifa hilo haliwezi kuchukua hatua zinazotumika na mataifa mengine barani Ulaya.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia

 .Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya jijini Windhoek Namibia ambapo walihudhuria sherehe za kuapishwa Rais mpya wa Namibia.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akikutana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Hoteli ya Safari Court jijini Windhoek Namibia jana.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi(kulia) na Benjamin William Mkapa(kushoto) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako jijini...

 

10 years ago

Vijimambo

VIJIMAMBO KURUSHA LIVE RAIS UHURU KENYATTA ATAKAPOONGEA NA WAKENYA NEW YORK ALHAMISI

Siku ya Alhamisi Sept 25, 2014 Rais Uhuru Kenyatta ataongea na Wakenya waishio New York na vitongoji vyake na Vijimambo Blog itarusha LIVE tukio hilo kuanzia saa 11:30 jioni ET.

 

9 years ago

MillardAyo

Wakenya hawajaipenda hii !! Rais Kenyatta anaendesha gari na hajafunga mkanda.. (+Video)

Kama kumbukumbu zangu ziko sawa hii itakuwa ni mara ya pili kumuona Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anakaa kwenye kiti cha dereva na kujiendesha mwenyewe kwenye gari !! Hii mpya ni kipande cha interview aliyofanyiwa Rais Kenyatta na mtangazaji wa Citizen TV, Jacque Maribe… ni kipande cha sekunde 15 za promo ya interview hiyo lakini inaonekana Wakenya wengi […]

The post Wakenya hawajaipenda hii !! Rais Kenyatta anaendesha gari na hajafunga mkanda.. (+Video) appeared first on...

 

11 years ago

Michuzi

Hotuba ya Mhe Rais Uhuru Kenyatta kwa waKenya Washington DC. Aug 6, 2014

Mhe. Rais Uhuru Kenyatta akihutubia waKenya jijini Washington Aug 6, 2014Karibu kusikiliza hotuba ya Mhe. Uhuru Kenyatta alipozungumza na waKenya usiku wa Agosti 6, 2014 kwenye hotel ya Marriott Wardman Park Hotel, jijini Washington DC nchini Marekani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwanini Wakenya wanamuomba Rais Kenyatta kuwapatia 'uhuru' ?

Karibu watu milioni1.2 wamepoteza ajira tangu janga la corona lilipokumba Kenya mwezi Machi.

 

10 years ago

Vijimambo

ANGALIA RECORDED LIVE MHE. RAIS UHURU KENYATTA AKIONGEA NA WAKENYA KUTOKA NEW YORK

   

Broadcast live streaming video on Ustream
Kwa kuangalia video ya pili bofya soma zaidi
   

Broadcast live streaming video on Ustream

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani