Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIJIMAMBO KURUSHA LIVE RAIS UHURU KENYATTA ATAKAPOONGEA NA WAKENYA NEW YORK ALHAMISI

Siku ya Alhamisi Sept 25, 2014 Rais Uhuru Kenyatta ataongea na Wakenya waishio New York na vitongoji vyake na Vijimambo Blog itarusha LIVE tukio hilo kuanzia saa 11:30 jioni ET.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ANGALIA RECORDED LIVE MHE. RAIS UHURU KENYATTA AKIONGEA NA WAKENYA KUTOKA NEW YORK

   

Broadcast live streaming video on Ustream
Kwa kuangalia video ya pili bofya soma zaidi
   

Broadcast live streaming video on Ustream

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwanini Wakenya wanamuomba Rais Kenyatta kuwapatia 'uhuru' ?

Karibu watu milioni1.2 wamepoteza ajira tangu janga la corona lilipokumba Kenya mwezi Machi.

 

11 years ago

Michuzi

Hotuba ya Mhe Rais Uhuru Kenyatta kwa waKenya Washington DC. Aug 6, 2014

Mhe. Rais Uhuru Kenyatta akihutubia waKenya jijini Washington Aug 6, 2014Karibu kusikiliza hotuba ya Mhe. Uhuru Kenyatta alipozungumza na waKenya usiku wa Agosti 6, 2014 kwenye hotel ya Marriott Wardman Park Hotel, jijini Washington DC nchini Marekani.

 

9 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA

Serikali ya Kenya na watu wake wameelezea shukrani zake kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa urafiki na ushirikiano thabiti aliouonyesha kwa watu wa Kenya katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema hayo tarehe 5 Oktoba, 2015 katika Ikulu ya Nairobi wakati wa mazungumzo ya kiserikali. "I thank you, and on behalf of People of Kenya for your friendship and Cooperation that was reflected during your 10 years as President" Rais Kenyatta amemueleza Rais Kikwete...

 

9 years ago

MillardAyo

Wakenya hawajaipenda hii !! Rais Kenyatta anaendesha gari na hajafunga mkanda.. (+Video)

Kama kumbukumbu zangu ziko sawa hii itakuwa ni mara ya pili kumuona Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anakaa kwenye kiti cha dereva na kujiendesha mwenyewe kwenye gari !! Hii mpya ni kipande cha interview aliyofanyiwa Rais Kenyatta na mtangazaji wa Citizen TV, Jacque Maribe… ni kipande cha sekunde 15 za promo ya interview hiyo lakini inaonekana Wakenya wengi […]

The post Wakenya hawajaipenda hii !! Rais Kenyatta anaendesha gari na hajafunga mkanda.. (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA KENYA ALIVYOKUTANA NA WAKENYA HYATT HOTEL NEW YORK CITY

MH. Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akiwa amesimama kwenye meza kuu baada ya kuingia kwenye ukumbi wa Hyatt hotel tayari kwa kuongea na wananchi wake wa Kenya washio New York na miji ya jilani, kushoto kwa Mh. Rais ni first Lady Margaret Gakuo Kenyatta.Mh. Rais Kenyatta akiongea mbele ya wananchi wa Kenya kwenye mkutano uliofanyika  Hyatt hotel New York City. Mh. Kenyatta aliongea mambo mengi na kati ya mambo hayo ni jinsi gani angependa wananchi wake warudi nyumbani na kutoa changamoto za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani