DC Gambo ajisalimisha
HATIMAYE Mkuu wa Wilaya (DC), wa Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amejisalimisha kwenye Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma jijini Dar es Salaam baada ya kutolewa amri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Oct
DC Gambo abanwa
5 years ago
Michuzi
SHUGHULI ZA MAENDELEO ZINAHITAJIKA NGORONGORO-RC GAMBO



5 years ago
Michuzi
Bodi ya Shule ya Mrisho Gambo Yazinduliwa Rasmi.
Katibu tawala mkoa wa Arusha Richard Kwitega amezindua bodi ya shule ya sekondari ya Mrisho Gambo iliyopo katika kata ya Olasiti Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa Uzinduzi huo kwa niaba ya mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,Kwitega aliitaka bodi hiyo kuhakikisha kuwa inasimamia ubora wa elimu na kuhakikisha inafanya vizuri na kuwa ya mfano.
Pia alisema kuwa ujenzi wa shule hiyo ulitokana na kuongezeka kwa ufaulu katika mkoa wa Arusha hivyo kulazimika kutafuta namna ya ...
11 years ago
Tanzania Daima29 Aug
DC Gambo kubariki Redds Miss Ilala Talent
MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika shindano la vipaji ‘Miss Talent’ kwa warembo wa Redd’s Miss Ilala litakalofanyika ukumbi wa Rio Gym,...
5 years ago
Michuzi
RC Gambo Awaonya Wenyeviti wa Mitaa vijiji na Vitongoji
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesitisha kwa muda kuendelea na shughuli yeyote kwenye eneo la Losirwa kata ya Moshono hadi Serikali itakapotoa maelekezo Mengine ambapo amewaonya Wenyeviti wa Mitaa kuacha kuchukuwa fedha na kutoa vibali vya Ununuzi wa Ardhi kwenye maeneo yenye Migogoro.
Aidha Amezitaka halmashauri za wilaya kuacha kutoa vibali vya ujenzi kwa wananchi kwenye maeneo yenye migogoro kwa kuwa inaleta mikanganyiko kwenye jamii na kuleta ugumu wakati wa...
5 years ago
Michuzi
RC.GAMBO,WADAU SHIRIKIANENI NA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI COVID 19

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akipokea Vitakasa mikono lita 2500 pamoja na Ndoo 50 kutoka kwa meneja wa kampuni ya Mega beverages Christopher Ndossi leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.

Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akitoa taarifa ya mapambano ya ugonjwa wa Covid 19 kwa mkoa wa Arusha kwa wadau kutoka kampuni za Hanspoul Ltd,Simba Truck na Mega Beverages Mara baada ya kukabidhiwa vifaa na fedha milioni 29 kutoka kwa wadau hao ikiwa ni sehemu yamsaada...
5 years ago
CCM BlogGAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Mwema ajisalimisha uraiani
ALIYEKUWA Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Said Mwema, amewataka Watanzania wampokee vizuri anapoingia uraiani baada ya kumaliza muda wake wa utumishi. Utawala wa Mwema ulitiwa doa na matukio...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Nay ajisalimisha TRA
Mbongo Fleva Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’.
MUSA MATEJA
KUFUATIA kasi ya utumbuaji majipu wa Rais DK. John Pombe Magufuli kuendelea kutia hofu kwa wenye mali, Mbongo Fleva Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’, juzikati alijikuta akijisalimisha kwa kuanika baadhi ya mali zake halali, hasa magari na kuwaita maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kumkagua muda wowote.
NYUMBANI KWAKE Nay aliyasema hayo Januari 4, mwaka huu nyumbani kwake Kimara ya Korogwe jijini Dar mara baada ya...