Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Gambo ajisalimisha

HATIMAYE Mkuu wa Wilaya (DC), wa Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amejisalimisha kwenye Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma jijini Dar es Salaam baada ya kutolewa amri...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

DC Gambo abanwa

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo jana alifikishwa mbele ya Baraza la Maadili akituhumiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka ikiwamo matusi ya nguoni kwa watumishi wa Halmashauri ya Korogwe.

 

5 years ago

Michuzi

SHUGHULI ZA MAENDELEO ZINAHITAJIKA NGORONGORO-RC GAMBO

Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akikagua ujenzi wa Zahanati iliyojengwa hadi hatua ya boma kwa nguvu za wananchi wa kijiji cha Tinaga Kata ya Kilangi wilayani Ngorongoro. Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizungumza na wananchi wa kijiji cha Tinaga Kata ya Kilangi wilayani Ngorongoro kuhimiza shughuli za maendeleo na utekelezaji wa ahadi ya serikali ya awamu ya tano,kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro,Rashid Taka.
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akiongoza maafisa waandamizi wa...

 

5 years ago

Michuzi

Bodi ya Shule ya Mrisho Gambo Yazinduliwa Rasmi.

Na Ashura Mohamed-Arusha

Katibu tawala mkoa wa Arusha Richard Kwitega amezindua bodi ya shule ya sekondari ya Mrisho Gambo iliyopo katika kata ya Olasiti Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa Uzinduzi huo kwa niaba ya mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,Kwitega aliitaka bodi hiyo kuhakikisha kuwa inasimamia ubora wa elimu na kuhakikisha inafanya vizuri na kuwa ya mfano.
Pia alisema kuwa ujenzi wa shule hiyo ulitokana na kuongezeka kwa ufaulu katika mkoa wa Arusha hivyo kulazimika kutafuta namna ya ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC Gambo kubariki Redds Miss Ilala Talent

MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika shindano la vipaji ‘Miss Talent’ kwa warembo wa Redd’s Miss Ilala litakalofanyika ukumbi wa Rio Gym,...

 

5 years ago

Michuzi

RC Gambo Awaonya Wenyeviti wa Mitaa vijiji na Vitongoji

Na Ahmed Mahmoud Arusha

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesitisha kwa muda kuendelea na shughuli yeyote kwenye eneo la Losirwa kata ya Moshono hadi Serikali itakapotoa maelekezo Mengine ambapo amewaonya Wenyeviti wa Mitaa kuacha kuchukuwa fedha na kutoa vibali vya Ununuzi wa Ardhi kwenye maeneo yenye Migogoro.

Aidha Amezitaka halmashauri za wilaya kuacha kutoa vibali vya ujenzi kwa wananchi kwenye maeneo yenye migogoro kwa kuwa inaleta mikanganyiko kwenye jamii na kuleta ugumu wakati wa...

 

5 years ago

Michuzi

RC.GAMBO,WADAU SHIRIKIANENI NA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI COVID 19


Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akipokea Vitakasa mikono lita 2500 pamoja na Ndoo 50 kutoka kwa meneja wa kampuni ya Mega beverages Christopher Ndossi leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.

Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akitoa taarifa ya mapambano ya ugonjwa wa Covid 19 kwa mkoa wa Arusha kwa wadau kutoka kampuni za Hanspoul Ltd,Simba Truck na Mega Beverages Mara baada ya kukabidhiwa vifaa na fedha milioni 29 kutoka kwa wadau hao ikiwa ni sehemu yamsaada...

 

5 years ago

CCM Blog

GAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, ametoa onyo kali kwa waongoza utalii wanaofanya shughuli zao Mkoani Arusha baada ya kuhusishwa na usambazaji wa video na picha zinazoonesha uharibifu wa miundombinu katika mamlaka ya eneo la hifadhi ya Ngorongoro.

Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.

 “Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema ajisalimisha uraiani

ALIYEKUWA Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Said Mwema, amewataka Watanzania wampokee vizuri anapoingia uraiani baada ya kumaliza muda wake wa utumishi. Utawala wa Mwema ulitiwa doa na matukio...

 

9 years ago

Global Publishers

Nay ajisalimisha TRA

NayWaMitegoMbongo Fleva Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’.

MUSA MATEJA

KUFUATIA kasi ya utumbuaji majipu wa Rais DK. John Pombe Magufuli kuendelea kutia hofu kwa wenye mali, Mbongo Fleva Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’, juzikati alijikuta akijisalimisha kwa kuanika baadhi ya mali zake halali, hasa magari na kuwaita maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kumkagua muda wowote.

NYUMBANI KWAKE Nay aliyasema hayo Januari 4, mwaka huu nyumbani kwake Kimara ya Korogwe jijini Dar mara baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani