SHUGHULI ZA MAENDELEO ZINAHITAJIKA NGORONGORO-RC GAMBO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bf_LS9AKDHM/Xmh27usNf7I/AAAAAAAAMuM/asaiHnM8uXcPaohyqFmckdggo8I555s5QCLcBGAsYHQ/s72-c/R%2B2.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akikagua ujenzi wa Zahanati iliyojengwa hadi hatua ya boma kwa nguvu za wananchi wa kijiji cha Tinaga Kata ya Kilangi wilayani Ngorongoro.
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizungumza na wananchi wa kijiji cha Tinaga Kata ya Kilangi wilayani Ngorongoro kuhimiza shughuli za maendeleo na utekelezaji wa ahadi ya serikali ya awamu ya tano,kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro,Rashid Taka.
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akiongoza maafisa waandamizi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s72-c/K%2B1.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA ,MRISHO GAMBO WILAYANI NGORONGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s640/K%2B1.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) 39 KJ -Kiteule cha Loliondo,kulia ni Mkuu wa Brigedi ya 303,Brigedia Omary Majani.
![](https://1.bp.blogspot.com/-pLWpqnzndtY/XmzEyXrrcTI/AAAAAAAAMvU/xSmslBEVXHMlqnLHQHt3vHI1SR6eiexWwCLcBGAsYHQ/s640/K%2B2.jpg)
Kamishna wa uhifadhi wa Tanapa,Dk Allan Kijazi akipanda mti wa kumbukumbu baada ya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) Loliondo
![](https://1.bp.blogspot.com/-juCzUaZYD50/XmzE6VOhgXI/AAAAAAAAMvc/qPa1necpk8ExYVWKYNPV-NCe2xhmBElNgCLcBGAsYHQ/s640/K%2B3.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo(kushoto) akimsikiliza Kapteni Fadhil Mbulu ambaye ni...
11 years ago
MichuziVIJANA WAASWA KUSHIRIKI KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Wadau wa maendeleo wafurahsihwa na shughuli za miradi Iringa
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiangalia ubora wa majani ya chai kwenye kiwanda cha Unilever walipofanya ziara ya kutembelea kiwanda hicho.
Na Mwandishi wetu, Iringa
UJUMBE mzito wa washirika katika maendeleo ya Tanzania jana umetembelea mkoa wa Iringa na kuona shughuli za viwanda vya Sao Hill Industries Limited na Unilever Lugoda vilivyopo wilaya ya Mufindi mkoani hapa.
Ujumbe huo ulijionea shughuli...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uMxF1o08j-U/Xl7BSvq-BZI/AAAAAAALgy8/Bqv3aCKfOw43nc0NGLNs9jxzCCApWfR_gCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-768x432.jpg)
MGUMBA AWATAKA WANANCHI KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uMxF1o08j-U/Xl7BSvq-BZI/AAAAAAALgy8/Bqv3aCKfOw43nc0NGLNs9jxzCCApWfR_gCLcBGAsYHQ/s640/PIX-01-768x432.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/pix-02-1024x576.jpg)
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE ATEMBELEA SHUGHULI ZA MAENDELEO JIMBONI KWAKE
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete jana alianza ziara kwenye Jimbo hilo ambapo ametembelea shughuli mbalimbali pamoja na kujua changamoto zilizopo kwenye Jimbo lake.
Ridhiwani alitembelea kata ya Pera na kuzungumza na wakazi wa vitongoji mbalimbali ambavyo vinaunda kata hiyo ambapo leo ametembelea kata ya Kibindu nako alipata fursa ya kuzungumza na wakazi wa vitongoji vilivyopo kwenye kata hiyo.
Mbunge huyo atakuwa na ziara ya wiki moja...
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
Dk. Bujugo: “Vijana unganeni tuweze kuwasaidia katika shughuli za maendeleo”
Mgombea Udiwani Kata ya Magomeni, Dk. Julian Bujugo (wa tatu kutoka kushoto) akisikiliza mmoja wa wajumbe wa CCM, aliyekuwa akihutubia jukwaani wakati wa mkutano huo wa kampeni uliofanyika jana jioni Agosti 30.2015. Mtaa wa ChemChem Magomeni Mapipa. Anayemfuatia ni mmgeni rasmi katika mkutano huo, Alhaj Salum Londa. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kisiasa kuwania nafasi ngazi ya Udiwani kwa Kata ya Magomeni jana...
10 years ago
Mwananchi25 May
UCHAMBUZI WA BAJETI: Shughuli za maendeleo 2015/16 kukwama Wizara ya Sheria
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TrJPtFXusHo/Xn0PMs7QJAI/AAAAAAALlQQ/xUpa4yi6yRshKNc2Mm9FA88wsWkfINj9gCLcBGAsYHQ/s72-c/101425d5-6950-4eb6-85e1-64a1c06a1dce.jpg)
UONGOZI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAKUTANA NA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO KUJADILI FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO.
Fedha hizo sasa zitapelekwa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kutekeleza shughuli zilezile...