MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA ,MRISHO GAMBO WILAYANI NGORONGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s72-c/K%2B1.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) 39 KJ -Kiteule cha Loliondo,kulia ni Mkuu wa Brigedi ya 303,Brigedia Omary Majani.
Kamishna wa uhifadhi wa Tanapa,Dk Allan Kijazi akipanda mti wa kumbukumbu baada ya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) Loliondo
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo(kushoto) akimsikiliza Kapteni Fadhil Mbulu ambaye ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda katika ziara yake mkoa wa Iringa
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Chief wa Wahehe , Adam Abdu Sapi Mkwawa wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa Februari 20, 2015 kuhani msiba wa baba yake Chief huyo, Marehemu Abdu Adam Sapi Mkwawa uliotokea hivi karibuni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishiriki katika dua mbele ya kaburi la marehemu Abdu Adam Sapi Mkwawa wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa kuhani Februari 20, 2015.
Waziri Mkuu,...
5 years ago
MichuziMRISHO GAMBO ATOA ANYO KWA WAONGOZA UTALII JIJINI ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
10 years ago
MichuziZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA WILAYA YA NGORONGORO MKOANI ARUSHA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m-UH8-frWM8/XoXYoKx411I/AAAAAAAC81U/jEq2_isy2HE9JUMtTmvQskYf73DW-hR7wCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA JAJI KIONGOZI MAHAKAMA-PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-m-UH8-frWM8/XoXYoKx411I/AAAAAAAC81U/jEq2_isy2HE9JUMtTmvQskYf73DW-hR7wCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MkINchwE4R4/XoXYpPkTa0I/AAAAAAAC81g/-pIs7yJCu_o4lBEbJCEuZUtDwG2MDkVpQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-T749dCwfA7I/XoXYpcc5yaI/AAAAAAAC81k/kK39vDzXaQYJ0VOo63sWnFxBVIWYHms-QCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Matukio mbalimbali katika picha ziara ya Rais Kikwete nchini Uholanzi
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi waliojitokeza kumlaki wakati akiwasili jijini The Hague, Uholanzi, leo Jumatatu Juni 8, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo na muhtasari wa ziara yake toka kwa Balozi wa Tanzania nchini Uholani Mhe Wilson Masilingi baada ya kuwasili The Hague leo Jumatatu Juni 8, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya mafuta ya Shell Bw. Ben van Beurden jijini the Hague,...
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Kinana katika ziara yake wilayani Mbogwe mkoa wa Geita
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM kushoto wakipokelewa na mganga mkuu wa kituo cha afya cha Masumbwe wilayani Mbogwe Katibu Mkuu huyo alipokagua kituo hicho na kuwasha umeme wa REA kituoni hapo akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2010-2015 inayotekelezwa na serikali, Kulia ni Dr. John Mgosha Mganga Mkuu wa kituo hicho.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...
11 years ago
GPLMATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOA WA MBEYE,LEO YUPO WILAYANI KYELA