MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA JAJI KIONGOZI MAHAKAMA-PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-m-UH8-frWM8/XoXYoKx411I/AAAAAAAC81U/jEq2_isy2HE9JUMtTmvQskYf73DW-hR7wCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
Jaji Kiongozi Dkt. Feleshi (wa pili kushoto) akisalimiana na watumishi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi, Pwani. Mhe. Jaji. Dkt. Feleshi amewataka Mahakimu na Watumishi wa Mahakama kwa ujumla kuongeza kasi ya usikilizaji wa mashauri ikiwa ni moja ya mbinu ya kukabiliana na ugonjwa hatari wa 'corona' unaoikabili dunia.
Jaji Kiongozi Dkt. Feleshi akizungumza na mmoja wa Wazee wa Baraza (Wa kwanza kushoto) wa Mahakama ya Mwanzo Mailimoja.
Jaji Kiongozi Dkt. Feleshi akijadiliana jambo wakati wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eqWY6jekzj4/U8bkjRG6PGI/AAAAAAAF274/VJvAKfxHntY/s72-c/abd263c507ae71194cbd6a1537c74744.jpg)
Jaji Mfawidhi Mhe. SS Kihiyo afanya ziara mkoa wa pwani kukagua mahakama na magereza
![](http://2.bp.blogspot.com/-eqWY6jekzj4/U8bkjRG6PGI/AAAAAAAF274/VJvAKfxHntY/s1600/abd263c507ae71194cbd6a1537c74744.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--9-oDwyS7lI/U8bkjrYvqWI/AAAAAAAF278/VqVtT2MP0_s/s1600/c1d03060c0071947755dc62c472f9e22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_YWmsn3m4cg/U8bkjoQFIeI/AAAAAAAF28A/LANB6LRAgDo/s1600/d17c8fb057ed662e769298b1c2aeb6ce.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AY4AGYKjMv4/U8q0lt9IRMI/AAAAAAAF3xE/aqs6J26gq9I/s72-c/3194904b62fa18c4582fa4e81ecec34f.jpg)
Jaji Mfawidhi kanda ya Dar es Salaam ahitimisha ziara ya ukaguzi wa mahakama mkoa wa pwani
![](http://2.bp.blogspot.com/-AY4AGYKjMv4/U8q0lt9IRMI/AAAAAAAF3xE/aqs6J26gq9I/s1600/3194904b62fa18c4582fa4e81ecec34f.jpg)
11 years ago
Michuzi20 Jul
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Matukio mbalimbali katika picha ziara ya Rais Kikwete nchini Uholanzi
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi waliojitokeza kumlaki wakati akiwasili jijini The Hague, Uholanzi, leo Jumatatu Juni 8, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo na muhtasari wa ziara yake toka kwa Balozi wa Tanzania nchini Uholani Mhe Wilson Masilingi baada ya kuwasili The Hague leo Jumatatu Juni 8, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya mafuta ya Shell Bw. Ben van Beurden jijini the Hague,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s72-c/K%2B1.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA ,MRISHO GAMBO WILAYANI NGORONGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s640/K%2B1.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) 39 KJ -Kiteule cha Loliondo,kulia ni Mkuu wa Brigedi ya 303,Brigedia Omary Majani.
![](https://1.bp.blogspot.com/-pLWpqnzndtY/XmzEyXrrcTI/AAAAAAAAMvU/xSmslBEVXHMlqnLHQHt3vHI1SR6eiexWwCLcBGAsYHQ/s640/K%2B2.jpg)
Kamishna wa uhifadhi wa Tanapa,Dk Allan Kijazi akipanda mti wa kumbukumbu baada ya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) Loliondo
![](https://1.bp.blogspot.com/-juCzUaZYD50/XmzE6VOhgXI/AAAAAAAAMvc/qPa1necpk8ExYVWKYNPV-NCe2xhmBElNgCLcBGAsYHQ/s640/K%2B3.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo(kushoto) akimsikiliza Kapteni Fadhil Mbulu ambaye ni...
10 years ago
Michuzi23 Mar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3-DETLSWB0U/Xt0TpIIMAHI/AAAAAAALs7c/cB5WXvh5hnk7Iy6SYvGsSXTVKlIlvw36ACLcBGAsYHQ/s72-c/N-1-2048x1365.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA WAZIRI MHAGAMA AKIKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA CHA BIDHAA ZA NGOZI KARANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3-DETLSWB0U/Xt0TpIIMAHI/AAAAAAALs7c/cB5WXvh5hnk7Iy6SYvGsSXTVKlIlvw36ACLcBGAsYHQ/s640/N-1-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/N-2-scaled.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GZ51wuc-YC0/U9JUlXTiXaI/AAAAAAACmM8/RCMSPdKt7nU/s72-c/PIX01.jpg)
Rais Kikwete amuapisha Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-GZ51wuc-YC0/U9JUlXTiXaI/AAAAAAACmM8/RCMSPdKt7nU/s1600/PIX01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JwNZt2mDaDY/U9JUl6CNHNI/AAAAAAACmNA/_Z5YPtm_xzw/s1600/PIX02.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7KNFtVb2Gn8/U9JUmYQz_8I/AAAAAAACmNM/5WutzfvrOyM/s1600/PIX03.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Jaji Kiongozi atoa somo kwa watumishi wa mahakama, vyama vya waajiri na waajiriwa
Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Shaaban Lila akifungua mkutano maalum wa watendaji wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi, Chama cha waajiri Tanzania (ATE) na Wafanyakazi (TUCTA) leo jijini Dar es salaam. Mkutano huo unalenga kuangalia na kutafuta majibu ya changamoto mbalimbali zinazohusu maslahi ya wafanyakazi na mashauri yanayopelekwa mahakama Kuu Divisheni ya Kazi nchini.
Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Shaaban Lila akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10