MRISHO GAMBO ATOA ANYO KWA WAONGOZA UTALII JIJINI ARUSHA
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, ametoa onyo kali kwa waongoza utalii wanaofanya shughuli zao Mkoani Arusha baada ya kuhusishwa na usambazaji wa video na picha zinazoonesha uharibifu wa miundombinu katika mamlaka ya eneo la hifadhi ya Ngorongoro.
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogGAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-inETHZcs_KU/XuhZfZ42ySI/AAAAAAALt-g/07fmVuCThTIIDEvb6JeAUxEtEjXLncNzgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200615-WA0289.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAJIPANGA KUTOA USHIRIKIANO KWA WAONGOZA UTALII WAKATI HUU WA CORONA
Jeshi la polisi Mkoa wa Arusha,limejipanga kutoa ushirikiano kwa waongoza utalii mkoani hapa katika kipindi hiki ambacho wanatarajia kuanza kupokea watalii kwa vingi baada ya ugonjwa wa Corona kupungua kwa kiasi kikubwa hapa nchini.
Akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku sita ya wadau wa utalii yaliyoandaliwa na chama cha waongoza utalii Tanzania (TSG)jijini hapa,Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha,Jonathan Shanna alisema kuwa jeshi hilo lipo imara kuimarisha ulinzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s72-c/K%2B1.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA ,MRISHO GAMBO WILAYANI NGORONGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s640/K%2B1.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) 39 KJ -Kiteule cha Loliondo,kulia ni Mkuu wa Brigedi ya 303,Brigedia Omary Majani.
![](https://1.bp.blogspot.com/-pLWpqnzndtY/XmzEyXrrcTI/AAAAAAAAMvU/xSmslBEVXHMlqnLHQHt3vHI1SR6eiexWwCLcBGAsYHQ/s640/K%2B2.jpg)
Kamishna wa uhifadhi wa Tanapa,Dk Allan Kijazi akipanda mti wa kumbukumbu baada ya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) Loliondo
![](https://1.bp.blogspot.com/-juCzUaZYD50/XmzE6VOhgXI/AAAAAAAAMvc/qPa1necpk8ExYVWKYNPV-NCe2xhmBElNgCLcBGAsYHQ/s640/K%2B3.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo(kushoto) akimsikiliza Kapteni Fadhil Mbulu ambaye ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C9xlJjF6-ug/Xq_xhfW3kfI/AAAAAAAAJSA/UqxpQOu9nSkMSVimYZdMK4rODER11L4mgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200504_105339_719.jpg)
RC.GAMBO ATAKA MBINU MBADALA YA KARANTINI KWA WAGENI KUTOKA NJE YA MKOA KUINUA SEKTA YA UTALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9xlJjF6-ug/Xq_xhfW3kfI/AAAAAAAAJSA/UqxpQOu9nSkMSVimYZdMK4rODER11L4mgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200504_105339_719.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa na Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega na kaim Mganga wa mkoa wa Arusha Dkt.Omary Shariff wakipokea vitakasa mikono lita 500 vilivyotolewa na Kampuni ya Bia ya TBL leo kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LVBXU6TKvs8/Xq_xhWTUo4I/AAAAAAAAJR8/A0m8liJTlU8R-r7s8cjHisYtHgINKst_ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200504_111752_517.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiongea Mara baada ya kupokea vitakasa mikono kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda Cha bia Joseph Mwaikasu Leo jijini Arusha picha na Ahmed...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-D_Gs3A8PkPM/XlzZmdWk5QI/AAAAAAALgXY/OC3bHrGFb-g6nj89q_VER-Ybz-g5IjCwwCLcBGAsYHQ/s72-c/926fc2f0-c183-4f9c-9547-c876d485739a.jpg)
Bodi ya Shule ya Mrisho Gambo Yazinduliwa Rasmi.
Katibu tawala mkoa wa Arusha Richard Kwitega amezindua bodi ya shule ya sekondari ya Mrisho Gambo iliyopo katika kata ya Olasiti Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa Uzinduzi huo kwa niaba ya mkoa wa Arusha Mrisho Gambo,Kwitega aliitaka bodi hiyo kuhakikisha kuwa inasimamia ubora wa elimu na kuhakikisha inafanya vizuri na kuwa ya mfano.
Pia alisema kuwa ujenzi wa shule hiyo ulitokana na kuongezeka kwa ufaulu katika mkoa wa Arusha hivyo kulazimika kutafuta namna ya ...
10 years ago
Vijimambo28 Sep
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-wokXdtz323c/Xu0lgI0naTI/AAAAAAABMgU/w_ocRfSwCdYwf8878l-nLX6TmiCBxKyjgCLcBGAsYHQ/s72-c/Gambo.jpeg)
RAIS MAGUFULI AWATUMBUA RC GAMBO, MKUU WA WILAYA YA ARUSHA NA MKURUGENZI WA ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wokXdtz323c/Xu0lgI0naTI/AAAAAAABMgU/w_ocRfSwCdYwf8878l-nLX6TmiCBxKyjgCLcBGAsYHQ/s400/Gambo.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Juni, 2020 ametengua uteuzi wa viongozi 3 wa Mkoa wa Arusha na kufanya uteuzi wa viongozi watakaoshika nyadhifa hizo.
Kwanza,Mhe. Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Mrisho Gambo na amemteua Bw. Idd Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Kabla ya uteuzi huo Bw. Kimanta alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha. Nafasi ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli itajazwa baadaye.
Pili,Mhe. Rais...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-sqVVqujNSkY/VBwj_8qnN4I/AAAAAAAGkhQ/IqkscTXQag0/s72-c/maliasili.png)
MAADHIMISHO YA SIKU YA UTALII 2014 KUFANYIKA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sqVVqujNSkY/VBwj_8qnN4I/AAAAAAAGkhQ/IqkscTXQag0/s1600/maliasili.png)
Siku ya Utalii Duniani huadhimishwa tarehe 27 Septemba ya kila mwaka ambapo kila nchi mwanachama wa Shirika la Utalii...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MKUU WA MKOA ARUSHA AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI, KITAIFA JIJINI ARUSHA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xSjfbwbfM14/VCAoxytleGI/AAAAAAAGlAg/VmyBabMETYA/s1600/unnamed%2B(53).jpg)