RAIS MAGUFULI AWATUMBUA RC GAMBO, MKUU WA WILAYA YA ARUSHA NA MKURUGENZI WA ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wokXdtz323c/Xu0lgI0naTI/AAAAAAABMgU/w_ocRfSwCdYwf8878l-nLX6TmiCBxKyjgCLcBGAsYHQ/s72-c/Gambo.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Juni, 2020 ametengua uteuzi wa viongozi 3 wa Mkoa wa Arusha na kufanya uteuzi wa viongozi watakaoshika nyadhifa hizo.
Kwanza,Mhe. Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Mrisho Gambo na amemteua Bw. Idd Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Kabla ya uteuzi huo Bw. Kimanta alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha. Nafasi ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli itajazwa baadaye.
Pili,Mhe. Rais...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s72-c/K%2B1.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA ,MRISHO GAMBO WILAYANI NGORONGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-O7pOnTHfC0w/XmzEive48DI/AAAAAAAAMvQ/Ex4EmrX1tvgtr2MDhifwMAhZlWgMbg6OQCLcBGAsYHQ/s640/K%2B1.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) 39 KJ -Kiteule cha Loliondo,kulia ni Mkuu wa Brigedi ya 303,Brigedia Omary Majani.
![](https://1.bp.blogspot.com/-pLWpqnzndtY/XmzEyXrrcTI/AAAAAAAAMvU/xSmslBEVXHMlqnLHQHt3vHI1SR6eiexWwCLcBGAsYHQ/s640/K%2B2.jpg)
Kamishna wa uhifadhi wa Tanapa,Dk Allan Kijazi akipanda mti wa kumbukumbu baada ya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika Kiteule cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) Loliondo
![](https://1.bp.blogspot.com/-juCzUaZYD50/XmzE6VOhgXI/AAAAAAAAMvc/qPa1necpk8ExYVWKYNPV-NCe2xhmBElNgCLcBGAsYHQ/s640/K%2B3.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo(kushoto) akimsikiliza Kapteni Fadhil Mbulu ambaye ni...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IJfC12pvuwA/XvDAkz2tP2I/AAAAAAACOLs/s3wqSXRFUH81FKAG68VQY0gCr2ZxzFpzgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMUAPISHA IDD HASSAN KAMANTA KUWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-IJfC12pvuwA/XvDAkz2tP2I/AAAAAAACOLs/s3wqSXRFUH81FKAG68VQY0gCr2ZxzFpzgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
IKULU, Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 22 Juni, 2020 amemuapisha Bw. Idd Hassan Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.Hafla ya uapisho huo imefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo pia Mhe. Rais Magufuli na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vaeMCxL3sig/XvC5bMsRIRI/AAAAAAALu80/4MAK7hRaG9oqFm3MOz9PcLXvRCIyit99gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-38-2048x1223.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AMUAPISHA IDD HASSAN KIMANTA KUWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-vaeMCxL3sig/XvC5bMsRIRI/AAAAAAALu80/4MAK7hRaG9oqFm3MOz9PcLXvRCIyit99gCLcBGAsYHQ/s640/1-38-2048x1223.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-28.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6-14-scaled.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fjuqWGDgww0/U_x-1z1UhSI/AAAAAAAGCh0/EiJZ8m0rhK0/s72-c/Picture-ARUSHA.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Arusha kampeni ya uongezaji virutubishi leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-fjuqWGDgww0/U_x-1z1UhSI/AAAAAAAGCh0/EiJZ8m0rhK0/s1600/Picture-ARUSHA.jpg)
10 years ago
Michuzi17 Dec
NAIBU MKURUGENZI MKUU WA UNESCO AWASILI JIJINI ARUSHA KUSHIRIKI MAHAFALI TAASISI YA MANDELA
![DSC_0499](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_04991.jpg)
5 years ago
CCM BlogGAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
10 years ago
MichuziZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA WILAYA YA NGORONGORO MKOANI ARUSHA.
5 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAFUNZO YA MADAKTARI YANAYORATIBIWA NA WCF JIJINI ARUSHA
Mkuu wa Mkoa ametoa kauli hiyo leo Juni 24, 2020 katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Laban Kihongesi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na...
5 years ago
MichuziMRISHO GAMBO ATOA ANYO KWA WAONGOZA UTALII JIJINI ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania