MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAFUNZO YA MADAKTARI YANAYORATIBIWA NA WCF JIJINI ARUSHA
Na mwandishi wetu, ArushaMKUU wa Mkoa wa Arusha, Idd Hassan Kimanta amesema Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) una faida kubwa kwa Wafanyakazi, Waajiri na Taifa kwa ujumla kwa vile Wafanyakazi sasa wana kinga ya kipato hata kama watapatwa na ajali, magonja kutokana na kazi.
Mkuu wa Mkoa ametoa kauli hiyo leo Juni 24, 2020 katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Laban Kihongesi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MKUU WA MKOA ARUSHA AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI, KITAIFA JIJINI ARUSHA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xSjfbwbfM14/VCAoxytleGI/AAAAAAAGlAg/VmyBabMETYA/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KwMZ58UO3TU/U5XUMqFNOvI/AAAAAAAAMqk/7BPMPZog4XU/s72-c/IMG-20140609-WA0055.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAONYESHO YA SIDO NA TAHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwMZ58UO3TU/U5XUMqFNOvI/AAAAAAAAMqk/7BPMPZog4XU/s1600/IMG-20140609-WA0055.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EvKgKTBd7-4/U3I6ah_f5kI/AAAAAAAFhXM/xpPEMZaaBTw/s72-c/unnamed+(70).jpg)
JK afungua Mkutano mkuu wa NSSf jijini Arusha leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-EvKgKTBd7-4/U3I6ah_f5kI/AAAAAAAFhXM/xpPEMZaaBTw/s1600/unnamed+(70).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RnEuwGk8KuQ/U3I6bsMx6CI/AAAAAAAFhXU/pOZ5z2HVoLc/s1600/unnamed+(69).jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la mafunzo ya pamoja kwa mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia jijini Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania, Lennarth Hjelmaker, wakati alipowasili kwenye Taasisi ya ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, jijini Arusha kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku mbili la Kimataifa la Mafunzo ya pamoja kwa Mabadiliko ya Kisayansi na Teknolojia, yaliyoanza leo jijini Arusha. Mafunzo hayo yameshirikisha washiriki kutoka Nchi 14 za Afrika na washiriki kutoka Vyuo 15 vya...
10 years ago
Michuzi12 Nov
WAZIRI MKUU AFUNGUA KONGAMANO LA UFUGAJI NYUKI JIJINI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xafXEJMWJTo/VGMmtFWCiXI/AAAAAAAGwpU/CKrrKelA7H0/s640/unnamed%2B(69).jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-f3wuRg3TuFE/VGMmtDYl6kI/AAAAAAAGwpY/XJmrPH69BpY/s640/unnamed%2B(70).jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MRn4o072vCo/VGMmtANeptI/AAAAAAAGwpc/wqL9Aa0TjjI/s640/unnamed%2B(71).jpg)
5 years ago
MichuziMADAKTARI WARIDHISHWA NA MAFUNZO WALIYOPATA KUTOKA WCF
Mafunzo hayo yaliyoanza Juni 22, 2020 kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC) jijini Arusha yaliandaliwa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF)...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s72-c/MMGL0603.jpg)
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s640/MMGL0603.jpg)
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akitoa hotuba yake ya Ufunguzi wa Mkutano wa tano wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ulioanza leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.Mh. Pinda awewasihi wasomi nchini pamoja na watanzania kuacha fikra ya kusubiri kuajiriwa mara wanapomaliza vyuo badala yake wajiajiri wenyewe ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha.
![](http://4.bp.blogspot.com/-VlTEULL8IKs/VW2j7TY_3qI/AAAAAAAHbQQ/MSea8ArqUQw/s640/MMGL0325.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudencia Kabaka akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KWqAHFZh9d8/VCE5NQBNpMI/AAAAAAAGlQg/mLlGFocdeO4/s72-c/PIX%2B1..jpg)
NAIBU WAZIRI SILIMA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI JIJINI ARUSHA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-KWqAHFZh9d8/VCE5NQBNpMI/AAAAAAAGlQg/mLlGFocdeO4/s1600/PIX%2B1..jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IJfC12pvuwA/XvDAkz2tP2I/AAAAAAACOLs/s3wqSXRFUH81FKAG68VQY0gCr2ZxzFpzgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMUAPISHA IDD HASSAN KAMANTA KUWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-IJfC12pvuwA/XvDAkz2tP2I/AAAAAAACOLs/s3wqSXRFUH81FKAG68VQY0gCr2ZxzFpzgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
IKULU, Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 22 Juni, 2020 amemuapisha Bw. Idd Hassan Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.Hafla ya uapisho huo imefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo pia Mhe. Rais Magufuli na...