NAIBU WAZIRI SILIMA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI JIJINI ARUSHA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-KWqAHFZh9d8/VCE5NQBNpMI/AAAAAAAGlQg/mLlGFocdeO4/s72-c/PIX%2B1..jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama Barabarani, Pereira Ame Silima akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kutoka mikoa yote nchini katika mkutano wa baraza hilo ambao unajadili masuala mbalimbali ya jinsi ya kupunguza ajali za barabarani nchini. Kulia kwa Mwenyekiti ni Katibu wa Baraza hilo ambaye pia ni Kamanda wa Kikosi cha Polisi Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga. Mkutano huo ambao unaenda sambamba na Maadhimisho ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI SILIMA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI JIJINI TANGA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s72-c/001.POLISI.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s1600/001.POLISI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s72-c/MMGL0603.jpg)
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s640/MMGL0603.jpg)
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akitoa hotuba yake ya Ufunguzi wa Mkutano wa tano wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ulioanza leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.Mh. Pinda awewasihi wasomi nchini pamoja na watanzania kuacha fikra ya kusubiri kuajiriwa mara wanapomaliza vyuo badala yake wajiajiri wenyewe ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha.
![](http://4.bp.blogspot.com/-VlTEULL8IKs/VW2j7TY_3qI/AAAAAAAHbQQ/MSea8ArqUQw/s640/MMGL0325.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudencia Kabaka akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MKUU WA MKOA ARUSHA AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI, KITAIFA JIJINI ARUSHA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xSjfbwbfM14/VCAoxytleGI/AAAAAAAGlAg/VmyBabMETYA/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i7f52u0q10o/VH3C6-OLF4I/AAAAAAAG0yw/PYqWsY6XLEk/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AFUNGUA MKUTANO WA WATAALAMU WA UGAVI JIJINI ARUSHA
WIZARA ya Fedha, imeitaka Bodi ya Wataalam wa Ugavi na Manunuzi nchni (PSPTB), kutafuta ufumbuzi wa tatizo la kufanya manunuzi bila kuzingatia thamani halisi ya fedha na kuwataka waajiri kuacha mara moja kuwaajiri watu wasio na sifa kufanya kazi hizo
Naibu Waziri wa Fedha,Adam Malima ametoa kauli hiyo leo wakati akifungua mkutano wa tano wa mwaka wa Siku mbili unaofanyika kwenye jengo la Mikutano la AICC jijini Arusha ambapo aliwataka Wataalamu hao kuzingatia maadili...
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI SILIMA AONGOZA MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU NA PEMBE YA AFRIKA KATIKA MAPAMBANO YA KUZUIA NA KUDHIBITI UZAGAAJI WA SILAHA HARAMU (RECSA), ZANZIBAR LEO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EvKgKTBd7-4/U3I6ah_f5kI/AAAAAAAFhXM/xpPEMZaaBTw/s72-c/unnamed+(70).jpg)
JK afungua Mkutano mkuu wa NSSf jijini Arusha leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-EvKgKTBd7-4/U3I6ah_f5kI/AAAAAAAFhXM/xpPEMZaaBTw/s1600/unnamed+(70).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RnEuwGk8KuQ/U3I6bsMx6CI/AAAAAAAFhXU/pOZ5z2HVoLc/s1600/unnamed+(69).jpg)
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA TEKNOLOJIA YA USALAMA KUTOKA UJERUMANI NA TANZANIA ULIOANZA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WNZcxr-96Pc/VebzEvpGF7I/AAAAAAAH12M/Lq_eZUSkAFU/s72-c/TB2.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA TANZANIA (TNBC) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-WNZcxr-96Pc/VebzEvpGF7I/AAAAAAAH12M/Lq_eZUSkAFU/s640/TB2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_aFQ29335d0/VebzaOxBXbI/AAAAAAAH13M/z0BFOPdA7C8/s640/TB26.jpg)