MADAKTARI WARIDHISHWA NA MAFUNZO WALIYOPATA KUTOKA WCF
Na mwandishi wetu, ArushaMADAKTARI waliokuwa wakishiriki mafunzo ya siku tano ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu utokanao na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi kutoka mikoa ya Kanda ya Kaskazini, wamefurahishwa na elimu waliyoipata na kwamba itasaidia kutenda haki kwa pande zote mbili, wanufaika na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF).
Mafunzo hayo yaliyoanza Juni 22, 2020 kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC) jijini Arusha yaliandaliwa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAFUNZO YA MADAKTARI YANAYORATIBIWA NA WCF JIJINI ARUSHA
Mkuu wa Mkoa ametoa kauli hiyo leo Juni 24, 2020 katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Laban Kihongesi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na...
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
11 years ago
Habarileo09 Jan
Selian yaanzisha mafunzo ya madaktari bingwa
HOSPITALI ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati (ALMC), maarufu kama Selian, imezindua mafunzo ya miaka mitano kwa madaktari bingwa wa upasuaji.
5 years ago
MichuziMadaktari wa Kichina watoa mafunzo ya kinga na tiba ya ugonjwa wa corona Sudan
Maafisa zaidi ya 50 wa afya nchini Sudan wanashiriki katika zoezi hilo ambalo lengo lake kuu ni kuchukua hatua za haraka za kuzuia na kutibu ugonjwa huo hatari.
Mmoja wa madaktari hao kutoka China, Li Changhong, amesema kuwa, timu yake ina mawasiliano ya karibu...
10 years ago
VijimamboWizara yawapokea Madaktari kutoka Marekan
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Tanzania yaomba madaktari zaidi kutoka China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Imekuwa inapokea madaktari kutoka China kwa miaka 46
-Yashukuru kwa kujengewa Hospitali ya magonjwa ya moyo Muhimbili
Tanzania imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuongeza idadi ya madaktari wake inaowatuma Tanzania kama msaada kutoa huduma ya tiba kama njia ya kuzidi kusaidia kukabiliana na upungufu wa madaktari nchini.
Aidha, Tanzania imeishukuru China kwa kujenga hospitali kubwa inayoweza kulaza wagonjwa 100 kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0QVEU_psV3s/VL_BiSJYfII/AAAAAAAG-vo/Ly0ULiAlz3Q/s72-c/IMG_2445.jpg)
Dk. Shein aufungua Mkutano wa Madaktari kutoka Uingereza
![](http://1.bp.blogspot.com/-0QVEU_psV3s/VL_BiSJYfII/AAAAAAAG-vo/Ly0ULiAlz3Q/s1600/IMG_2445.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-J1VMXbcZ5sQ/VL_BqTxDoAI/AAAAAAAG-v0/LlfDrFeSE28/s1600/IMG_2452.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zye9H1s-HOY/VL_BqRVDihI/AAAAAAAG-v4/O3wxVtPYGG4/s1600/IMG_2453.jpg)
10 years ago
Michuzi21 Apr
MADAKTARI BINGWA KUTOKA INDIA WATOA HUDUMA YA MATIBABU JIJINI ARUSHA
Akizungumza na waandishi wa habari katika kituo cha kutoa huduma kwamatibabu Arusha, Austin Makani alisema kuwa , madaktari bingwa haowanatoa ushauri kwa wagonjwa wenye matatizo ya Figo , Moyo, tumbo,saratani, mishipa ya fahamu, uti wa mgongo, upasuaji wa...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Naibu wa Waziri wa Afya Zanzibar awaandalia chakula Madaktari kutoka Hispania !
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na Madaktari wa kujitolea kutoka Hispatinia mara baada ya Chakula cha usiku alichowaandalia kwa lengo la kuwashukuru kutokana na mchango wao mkubwa wanaoutoa katika sekta ya Afya Zanzibar, hafla hiyo ilifanyika Hoteli ya Ocean View.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar
Profesa Jose Pinquet kulia akitambulisha Timu ya Madaktari wanaotoa huduma za Matibabu ya Uti wa Mgongo na Ubongo katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi mmoja kwa...