Dk. Shein aufungua Mkutano wa Madaktari kutoka Uingereza
![](http://1.bp.blogspot.com/-0QVEU_psV3s/VL_BiSJYfII/AAAAAAAG-vo/Ly0ULiAlz3Q/s72-c/IMG_2445.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamaed Shein akifungua mkutano maalum wa wataalamu wa maradhi yanayohusiana na mfumo wa utoaji wa haja ndogo kutoka Uingereza mkutano huo uliowashirikisha Madakatari Kutoka nchini Tanzania katika ukumbi wa Hoteli ya Breezes Hotel Bwejuu Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja jana
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa madaktari kutoka nchini Uingereza wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UZO3EukUN0I/VMD37cpHqlI/AAAAAAAAPTI/U6-m5tfp8jI/s72-c/IMG_2679.jpg)
DKT. SHEIN AWAANDALIA CHAKULA MADAKTARI WA UINGEREZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UZO3EukUN0I/VMD37cpHqlI/AAAAAAAAPTI/U6-m5tfp8jI/s640/IMG_2679.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EIxBwxab4c4/VMD38V3omHI/AAAAAAAAPTM/gwy73_p6xk8/s640/IMG_2699-1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-X5UrWcE5g5M/VL-iMDeKk4I/AAAAAAAAPPY/y9TIZKorxHA/s72-c/IMG_2459.jpg)
DKT. SHEIN AHUTUBIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MADAKTARI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-X5UrWcE5g5M/VL-iMDeKk4I/AAAAAAAAPPY/y9TIZKorxHA/s640/IMG_2459.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Wc-nPr5113k/VL-iLFevOVI/AAAAAAAAPPU/xJzOCqJzID0/s640/IMG_2453.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-isFSBaSPbDQ/VL-iNaS8t8I/AAAAAAAAPPk/vLL_lbAq2K4/s640/IMG_2452.jpg)
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
5 years ago
CCM Blog31 Mar
MADAKTARI WATATU WA KIISLAMU NI MIONGONI MWA WAHANGA WA MWANZO WALIOFARIKI KWA CORONA NCHINI UINGEREZA
![Madaktari watatu wa Kiislamu ni miongoni mwa wahanga wa mwanzo waliofariki kwa Corona nchini Uingereza](https://media.parstoday.com/image/4bv7aef2e8abbb1mjy7_800C450.jpg)
Viongozi wa serikali ya Uingereza wamesema kuwa, katika vifo vya mwanzo vilivyotokana na virusi vya Corona katika safu ya madaktari nchini humo, ni pamoja na madaktari watatu Waislamu.Taarifa iliyotolewa na maafisa wa Uingereza imebainisha kuwa, madaktari hao Waislamu waliopoteza maisha katika safu ya mwanzo ya vifo vya madaktari, ni wahajiri. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mmoja wa madaktari hao watatu wa Kiislamu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Covid-19 kabla ya kuenea virusi hivyo alikuwa...
10 years ago
GPLMKUTANO WA TATU WA MADAKTARI WA MIFUPA WAFUNGULIWA DAR
10 years ago
VijimamboWizara yawapokea Madaktari kutoka Marekan
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Tanzania yaomba madaktari zaidi kutoka China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Imekuwa inapokea madaktari kutoka China kwa miaka 46
-Yashukuru kwa kujengewa Hospitali ya magonjwa ya moyo Muhimbili
Tanzania imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuongeza idadi ya madaktari wake inaowatuma Tanzania kama msaada kutoa huduma ya tiba kama njia ya kuzidi kusaidia kukabiliana na upungufu wa madaktari nchini.
Aidha, Tanzania imeishukuru China kwa kujenga hospitali kubwa inayoweza kulaza wagonjwa 100 kwa...
5 years ago
MichuziMADAKTARI WARIDHISHWA NA MAFUNZO WALIYOPATA KUTOKA WCF
Mafunzo hayo yaliyoanza Juni 22, 2020 kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC) jijini Arusha yaliandaliwa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF)...
11 years ago
Dewji Blog14 Jun
Rais Zanzibar Dkt. Shein aenda Uingereza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, katika ukumbi wa Mapumziko ya Viongozi VIP uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Uingereza kwa safari maalum.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakiagana na Viongozi mbali mbali na wazee wa Chama...