Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Shein aufungua Mkutano wa Madaktari kutoka Uingereza

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamaed Shein akifungua mkutano maalum wa wataalamu wa maradhi yanayohusiana na mfumo wa utoaji wa haja ndogo kutoka Uingereza mkutano huo uliowashirikisha Madakatari Kutoka nchini Tanzania katika ukumbi wa Hoteli ya Breezes Hotel Bwejuu Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja jana Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa madaktari kutoka nchini Uingereza wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DKT. SHEIN AWAANDALIA CHAKULA MADAKTARI WA UINGEREZA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamaed Shein (katikati) akiwa katika picha na ya pamoja na na madakatari Bingwa wa maradhi yanayohusiana na mfumo wa utoaji wa haja ndogo kutoka Uingereza alipowaalika chakula cha mchana Ikulu Mjini Zanzibar leo Alhamisi Januari 22, 2015. Katika picha hii pia wakiwepo viongozi wengine wa Serikali. madaktari hao walikuwa wakihudhuria mkutano uliokutanisha matabibu kutoka nchini na Uingereza.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT. SHEIN AHUTUBIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MADAKTARI ZANZIBAR

Dkt. Shein akihutubiaBaadhi ya washiriki wa Mkutano wa madaktari kutoka nchini Uingereza wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamaed Shein alipokuwa akifungua mkutano maalum wa wataalamu wa maradhi yanayohusiana na mfumo wa utoaji wa haja ndogo kutoka Uingereza uliofanyika leo Jumatano Januari 21, 2014 katika ukumbi wa Breezes Hotel Bwejuu Mkoa wa Kusini UngujaMadaktari wa Uingereza na wa Zanzibar, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali...

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

5 years ago

CCM Blog

MADAKTARI WATATU WA KIISLAMU NI MIONGONI MWA WAHANGA WA MWANZO WALIOFARIKI KWA CORONA NCHINI UINGEREZA

Madaktari watatu wa Kiislamu ni miongoni mwa wahanga wa mwanzo waliofariki kwa Corona nchini Uingereza
Viongozi wa serikali ya Uingereza wamesema kuwa, katika vifo vya mwanzo vilivyotokana na virusi vya Corona katika safu ya madaktari nchini humo, ni pamoja na madaktari watatu Waislamu.Taarifa iliyotolewa na maafisa wa Uingereza imebainisha kuwa, madaktari hao Waislamu waliopoteza maisha katika safu ya mwanzo ya vifo vya madaktari, ni wahajiri. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mmoja wa madaktari hao watatu wa Kiislamu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Covid-19 kabla ya kuenea virusi hivyo alikuwa...

 

10 years ago

GPL

MKUTANO WA TATU WA MADAKTARI WA MIFUPA WAFUNGULIWA DAR

Madaktari bingwa wa mifupa wakijisajili kabla ya kuanza mkutano.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Ajali na Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dk. Othman Kiloloma (kulia) akifungua mkutano huo.  Daktari Bingwa wa Mifupa wa Taasisi hiyo Dk. Edmund Ndalama (kulia)  akizungumza na madaktari kutoka nchi…

 

10 years ago

Vijimambo

Wizara yawapokea Madaktari kutoka Marekan

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bibi Rosemary Jairo akiwakaribisha nchini Timu ya Madaktari kutoka Marekani mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam hivi karibuni. Madaktari hao wapo nchini kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu kwa magonjwa mbalimbali katika Hospitali za Mwananyamala ya Jijini Dar es Salaam na Mnazi Mmoja, Zanzibar. Ziara ya Madaktari hao ambao wametoka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yaomba madaktari zaidi kutoka China

Jakaya-Kikwete1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

-Imekuwa inapokea madaktari kutoka China kwa miaka 46

-Yashukuru kwa kujengewa Hospitali ya magonjwa ya moyo Muhimbili

Tanzania imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuongeza idadi ya madaktari wake inaowatuma Tanzania kama msaada kutoa huduma ya tiba kama njia ya kuzidi kusaidia kukabiliana na upungufu wa madaktari nchini.

Aidha, Tanzania imeishukuru China kwa kujenga hospitali kubwa inayoweza kulaza wagonjwa 100 kwa...

 

5 years ago

Michuzi

MADAKTARI WARIDHISHWA NA MAFUNZO WALIYOPATA KUTOKA WCF

Na mwandishi wetu, ArushaMADAKTARI waliokuwa wakishiriki mafunzo ya siku tano ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu utokanao na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi kutoka mikoa ya Kanda ya Kaskazini, wamefurahishwa na elimu waliyoipata na kwamba itasaidia kutenda haki kwa pande zote mbili, wanufaika na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF).
Mafunzo hayo yaliyoanza Juni 22, 2020 kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC) jijini Arusha yaliandaliwa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF)...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Zanzibar Dkt. Shein aenda Uingereza

IMG_3668

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, katika ukumbi wa Mapumziko ya Viongozi VIP   uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Uingereza kwa safari maalum.

IMG_3687

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama  Mwanamwema Shein wakiagana na Viongozi mbali mbali na wazee wa Chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani