Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO WA TATU WA MADAKTARI WA MIFUPA WAFUNGULIWA DAR

Madaktari bingwa wa mifupa wakijisajili kabla ya kuanza mkutano.   Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Ajali na Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dk. Othman Kiloloma (kulia) akifungua mkutano huo.  Daktari Bingwa wa Mifupa wa Taasisi hiyo Dk. Edmund Ndalama (kulia)  akizungumza na madaktari kutoka nchi…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA MOI DKT. OTHUMANI KILOLOMA AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA MADAKTARI WA MIFUPA JIJINI DAR

  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa,ajali na upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dokta Othman Kiloloma (kulia) akifungua Mkutano wa tatu  wa Madaktari Bingwa wa Mifupa uliyofanyika katika Taasisi hiyo Dar es Salaa  Daktari Bingwa wa Mifupa wa Taasisi hiyo Dk. Edmund Ndalama (kulia)  akizungumza na Makt. Bingwa tota Nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania na Marekani ambapo lengo ni kubadilishana ujuzi kwa Nadharia na Vitendo na unatarajia kumaliza  29-Mei 2015   Dokt....

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa Fidic Business Day wafunguliwa leo jijini Dar

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Eng. Mussa Ibrahim Iyombe akizungumza wakati wa Kufungua Mkutano wa siku ya Biashara (Fidic Business Day) katika Ukumbi wa hoteli ya Serena,Jijini Dar es salaam leo. Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano huo wakifatilia hotuba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Eng. Mussa Ibrahim Iyombe (hayupo pichani).Picha ya pamoja.

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA DHARURA WA BARAZA LA MAWAZIRI WA EAC WAFUNGULIWA DAR ES SALAAM

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe.Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb.) akifungua Mkutano wa Dharura wa Baraza la Mawaziri wa Afrika Mashariki ambao pamoja na mambo mengine utapokea na kujadili taarifa ya ziara ya Mawaziri nchini Burundi kuhusu hali ya kisisasa nchini humo. Mkutano huo ambao ni maandalizi ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi utakaofanyika tarehe 06 Julai, 2015, umefanyika kwenye Hoteli ya Serena,...

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA DHARURA WA BARAZA LA MAWAZIRI WA AFRIKA MASHARIKI WAFUNGULIWA DAR ES SALAAM

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe.Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb.) akifungua Mkutano wa Dharura wa Baraza la Mawaziri wa Afrika Mashariki ambao pamoja na mambo mengine utapokea na kujadili taarifa ya ziara ya Mawaziri nchini Burundi kuhusu hali ya kisisasa nchini humo. Mkutano huo ambao ni maandalizi ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi utakaofanyika tarehe 06 Julai, 2015, umefanyika kwenye Hoteli ya Serena,...

 

10 years ago

Vijimambo

MADKTARI BINGWA WA WA TIBA YA MIFUPA, WAANZA MKUTANO WAO DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, (MOI), Dkt. Othman Kiloloma (kulia) akifungua mkutano wa tatu wa madaktari bingwa wa mifupa uliyofanyika katika taasisi hiyo jijini Dar es Salaa , Mei 26, 2015Daktari Bingwa wa Mifupa wa Taasisi hiyo Dk. Edmund Ndalama (kulia) akizungumza na Madaktari bingwa kutoka nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania na Marekani ambapo lengo ni kubadilishana ujuzi kwa nadharia na vitendo na unatarajia kumaliza Mei 29Dkt. Zehrabanu Zulfikar akizungumza na ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA) wafunguliwa jijini Dar

MMG20482

Mgeni rasmi katika Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji  na Mifuko ya Jamii (CISNA),Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Peter Ilomo akizungumza wakati akifungua mkutano huo ulioanza jana April 10,2014 katika hoteli ya White Sands,Jijini Dar es Salaam.

MMG20499

Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji  na Mifuko ya Jamii (CISNA) wakiendelea na Mkutano huo uliofunguliwa rasmi jana April 10,2014 na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Peter Ilomo (katikati mwenye tai nyekundu).

MMG20523

 

11 years ago

Michuzi

Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA) wafunguliwa leo jijini dar

Wajumbe wa Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii kwa nchi wanachama wa SADC (CISNA) wakiendelea na Mkutano huo leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.Mkutnao huo umefunguliwa rasmi na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Peter Ilomo (katikati mwenye tai nyekundu). Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Peter Ilomo akizungumza wakati wa kufungua Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii kwa nchi wanachama wa SADC (CISNA)...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa pili wa mwaka wa Kimataifa wa wataalamu wa kudhibiti Mbu wafunguliwa rasmi leo jijini DAR

MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Utafiti  wa Magonjwa ya Binadamu (NIMRI), Dk.
Mwele Malecela akifungua mkutano huo wa pili wa mwaka wa kimataifa wa wataalam
wa kudhibiti Mbumbu kwa Nchi zisizofungamana Afrika (PAMCA) ulioanza leo jijini
Dar es Salaam. Washiriki wa mkutano huo umeshirikisha Wanasayansi watafiti kutoka nchi mbalimbali za
Afrika. Mkutano wa kwanza wa Kimataifa wa PAMCA ulifanyika jijini Nairobi Kenya 2014.   Dk Malecela amesema kuwa mkutano huu unakutanisha wataalam wa...

 

9 years ago

Michuzi

MKUTANO WA PILI WA MWAKA WA KIMATAIFA WA WATAALAM WA KUDHIBITI MBU WAFUNGULIWA RASMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

MKURUGENZI  Mkuu wa Taasisi ya Utafiti  wa Magonjwa ya Binadamu (NIMRI), Dk. Mwele Malecela akifungua mkutano huo wa pili wa mwaka wa kimataifa wa wataalam wa kudhibiti Mbumbu kwa Nchi zisizofungamana Afrika (PAMCA) ulioanza leo jijini Dar es Salaam.Picha ya pamoja ya washiriki mkutano huo wakiwa na mgeni rasmi.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani