MADAKTARI WATATU WA KIISLAMU NI MIONGONI MWA WAHANGA WA MWANZO WALIOFARIKI KWA CORONA NCHINI UINGEREZA
Viongozi wa serikali ya Uingereza wamesema kuwa, katika vifo vya mwanzo vilivyotokana na virusi vya Corona katika safu ya madaktari nchini humo, ni pamoja na madaktari watatu Waislamu.Taarifa iliyotolewa na maafisa wa Uingereza imebainisha kuwa, madaktari hao Waislamu waliopoteza maisha katika safu ya mwanzo ya vifo vya madaktari, ni wahajiri. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mmoja wa madaktari hao watatu wa Kiislamu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Covid-19 kabla ya kuenea virusi hivyo alikuwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Wakenya na Watanzania miongoni mwa waliofariki Mecca
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Mbunge wa zamani miongoni mwa waliofariki ajalini Mbwewe.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Juma-11April2015.jpg)
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki.
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mussa Lupatu ni miongoni mwa waliofariki katika ajali ya basi kijiji cha Mbwewe, Mkata wilayani hapa.
Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki, Lupatu alipata ajali hiyo akitokea Kibaha kuelekea Korogwe kumpeleka mwanae, Idrisa Lupatu, ambaye naye ni marehemu kupatiwa matibabu ya ugonjwa wa akili.
Wengine waliyotajwa kufariki katika ajali hiyo ni karani wa Mahakama ya Ardhi...
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Kwa nini virusi vya corona husambaa haraka miongoni mwa wanadamu
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Nigeria ni miongoni mwa nchi zilizo hatari ulimwenguni kwa wanawake kuishi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xMwNWWaa9t0/XpGs6RGOTNI/AAAAAAALmyU/4PNGXXBdz6ozfdgI8mX2LAe0DXCjjnSWgCLcBGAsYHQ/s72-c/bizo.jpg)
UGONJWA WA MATUNDU KWENYE MOYO NI MIONGONI MWA MAGONJWA HATARISHI KWA WATOTO WACHANGA
NA PATRICIA KIMELEMETA
UGONJWA wa matundu kwenye moyo kwa watoto wachanga ni miongoni mwa magonjwa hatarishi ambayo yanaweza kusababisha udumavu au wakati mwingine kifo Kwa mtoto.
Ugonjwa huo ambao unaathiri kuta za ventrikali za moyo au kwa kitaalamu ujulikana kama (Ventricular Septal Defect) (VSD) unashambulia moyo wa mtoto jambo ambalo linaweza kumuongezea maradhi mengine.
Mtoto mwenye matatizo hayo,anaweza kubainika mara baada ya kufanyiwa vipimo ambapo kwa sasa hali inaonyesha kuwa,...
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Watoto 14 na mama mjamzito ni miongoni mwa waliouawa
5 years ago
CCM Blog15 Feb
MADAKTARI NA MANESI 1700 NCHINI CHINA WAATHIRIKA NA VIRUSI CORONA
![Zaidi ya madaktari na manesi 1700 nchini China wameathirika na virusi vya Corona](https://media.parstoday.com/image/4bv6a9908d330d1lkri_800C450.jpg)
10 years ago
Bongo527 Oct
Diamond atajwa na Channel O miongoni mwa wasanii walioubadilisha muziki wa Afrika