Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria ni miongoni mwa nchi zilizo hatari ulimwenguni kwa wanawake kuishi

Nigeria ni nchi ya 9 hatari ulimwenguni kwa usalama wa wanawake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Malawi sasa ni miongoni mwa nchi za Afrika zinazoikubali bangi kisheria

Malawi imekua nchi ya hivi karibuni iliyoko Kusini mwa Afrika kuhalalisha kisheria ukulima na uuzaji wa ndani na nje wa bangi.

 

10 years ago

Bongo5

Utafiti waitaja Tanzania miongoni mwa nchi zenye watu wenye roho mbaya Afrika!

Kwa mujibu wa ripoti ya World Giving Index 2014, Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye watu wenye roho mbaya barani Afrika. Hiyo ni kwa mujibu wa utafiti uliodhaminiwa na Charities Aid Foundation (CAF) na kufanywa na kampuni ya utafiti ya Gallup na kuhusisha nchi 135 duniani kote. Data hizo zilikusanywa kuanzia mwaka 2013. Tanzania ilikamata […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Kisiwa cha Zanzibar ni miongoni mwa visiwa vitakavyo potea duniani kutokana na mabadiriko ya tabia nchi ukanda wa bahari ya Hindi!

mazingira 3Mchambuzi wa mambo ya mazingira katika ukanda wa bahari na mwandishi mwandamizi wa habari  nchini Kenya, Wanjohi Kabukuru, akielezea jambokwa wandishi wa habari (hawapo pichani) katika warsha hiyo  juu ya mazingira 

Na Andrew Chale, Nairobi, Kenya

Wataalamu wa kichunguzi  na wanasayansi  wa Mazingira, wameelezea kuwa  visiwa vilivyopo ndani ya bahari ya Hindi  vinatarajiwa kutoweka duniani kutokana na mabadiriko ya tabia nchi inayoikumba dunia kwa sasa ikiwemo upungufu wa kimo cha bahari,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwa nini virusi vya corona husambaa haraka miongoni mwa wanadamu

Virusi hivi hatari kwa jina SARS-CoV-2, tayari vimesambaa katika kila nchi duniani na vimeambukiza zaidi ya nusu milioni ya watu tangu vilipotambulika nchini China mwezi Disemba 2019.

 

5 years ago

Michuzi

UGONJWA WA MATUNDU KWENYE MOYO NI MIONGONI MWA MAGONJWA HATARISHI KWA WATOTO WACHANGA


NA PATRICIA KIMELEMETA

UGONJWA wa matundu kwenye moyo kwa watoto wachanga ni miongoni mwa magonjwa hatarishi ambayo yanaweza kusababisha udumavu au wakati mwingine kifo Kwa mtoto.

Ugonjwa huo ambao unaathiri kuta za ventrikali za moyo au kwa kitaalamu ujulikana kama (Ventricular Septal Defect) (VSD) unashambulia moyo wa mtoto jambo ambalo linaweza kumuongezea maradhi mengine.

Mtoto mwenye matatizo hayo,anaweza kubainika mara baada ya kufanyiwa vipimo ambapo kwa sasa hali inaonyesha kuwa,...

 

5 years ago

CCM Blog

MADAKTARI WATATU WA KIISLAMU NI MIONGONI MWA WAHANGA WA MWANZO WALIOFARIKI KWA CORONA NCHINI UINGEREZA

Madaktari watatu wa Kiislamu ni miongoni mwa wahanga wa mwanzo waliofariki kwa Corona nchini Uingereza
Viongozi wa serikali ya Uingereza wamesema kuwa, katika vifo vya mwanzo vilivyotokana na virusi vya Corona katika safu ya madaktari nchini humo, ni pamoja na madaktari watatu Waislamu.Taarifa iliyotolewa na maafisa wa Uingereza imebainisha kuwa, madaktari hao Waislamu waliopoteza maisha katika safu ya mwanzo ya vifo vya madaktari, ni wahajiri. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mmoja wa madaktari hao watatu wa Kiislamu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Covid-19 kabla ya kuenea virusi hivyo alikuwa...

 

9 years ago

Press

Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)

Picha na 1

Picha na 2

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa  uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada  ya  kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.

Picha na 3

Mkurugenzi wa Idara...

 

5 years ago

BBCSwahili

Watoto 14 na mama mjamzito ni miongoni mwa waliouawa

Hakuna kundi lililothibitisha kufanya shambulio japo upinzania unailaumu serikali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakenya na Watanzania miongoni mwa waliofariki Mecca

Mahujaji watatu kutoka Kenya ni miongoni mwa watu 717 waliofariki kwenye mkanyagano Mecca, afisa wa serikali ya Kenya amesema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani