Malawi sasa ni miongoni mwa nchi za Afrika zinazoikubali bangi kisheria
Malawi imekua nchi ya hivi karibuni iliyoko Kusini mwa Afrika kuhalalisha kisheria ukulima na uuzaji wa ndani na nje wa bangi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo508 Dec
Utafiti waitaja Tanzania miongoni mwa nchi zenye watu wenye roho mbaya Afrika!
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Nigeria ni miongoni mwa nchi zilizo hatari ulimwenguni kwa wanawake kuishi
10 years ago
Bongo527 Oct
Diamond atajwa na Channel O miongoni mwa wasanii walioubadilisha muziki wa Afrika
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
73% ya maambukizi ya VVU yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana — Mama Kikwete
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa Sandton International Center uliofanyika mkutano wa wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 15.6.2015. Aliyefuatana na Mama Salma ni Mwenyekiti wa OAFLA anayemaliza muda wake Mama Hinda Derby Itno.(PICHA NA JOHN LUKUWI).
Na Anna Nkinda – Johannesburg, Afrika ya Kusini
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata...
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Kisiwa cha Zanzibar ni miongoni mwa visiwa vitakavyo potea duniani kutokana na mabadiriko ya tabia nchi ukanda wa bahari ya Hindi!
Mchambuzi wa mambo ya mazingira katika ukanda wa bahari na mwandishi mwandamizi wa habari nchini Kenya, Wanjohi Kabukuru, akielezea jambokwa wandishi wa habari (hawapo pichani) katika warsha hiyo juu ya mazingira
Na Andrew Chale, Nairobi, Kenya
Wataalamu wa kichunguzi na wanasayansi wa Mazingira, wameelezea kuwa visiwa vilivyopo ndani ya bahari ya Hindi vinatarajiwa kutoweka duniani kutokana na mabadiriko ya tabia nchi inayoikumba dunia kwa sasa ikiwemo upungufu wa kimo cha bahari,...
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana — Mama Kikwete
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa Sandton International Center uliofanyika mkutano wa wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 15.6.2015. Aliyefuatana na Mama Salma ni Mwenyekiti wa OAFLA anayemaliza muda wake Mama Hinda Derby Itno.(PICHA NA JOHN LUKUWI).
Na Anna Nkinda – Johannesburg, Afrika ya Kusini
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_otPAJgKXNY/VX9TGr9-pxI/AAAAAAAHf1M/Y0GVdwXCzVg/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana - Mama Salma Kikwete
9 years ago
Press04 Dec
Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada ya kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.
Mkurugenzi wa Idara...
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Wakuu wa nchi za Kusini mwa Afrika kumzika Mbita
Christina Gauluhanga na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
WAKATI nchi nne za kusini mwa Afrika zikithibitisha kushiriki kwenye mazishi ya Brigedia Jenerali Hashim Mbita (82) yatakayofanyika kesho katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam, baadhi ya marafiki waliomfahamu marehemu kwa miaka mingi wamesema ameacha pigo na mchango wake unatambuliwa na mataifa mbalimbali.
Mtoto wa marehemu, Idd Mbita, alisema nchi za Zimbabwe, Namibia, Msumbiji na Angola zimethibitisha kutuma wawakilishi katika...