Wizara yawapokea Madaktari kutoka Marekan
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bibi Rosemary Jairo akiwakaribisha nchini Timu ya Madaktari kutoka Marekani mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam hivi karibuni. Madaktari hao wapo nchini kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu kwa magonjwa mbalimbali katika Hospitali za Mwananyamala ya Jijini Dar es Salaam na Mnazi Mmoja, Zanzibar. Ziara ya Madaktari hao ambao wametoka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
Slovenia yawapokea wakimbizi kutoka Croatia
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2bx2a0H6Spc/VPS9Sbk79BI/AAAAAAAHHNg/OpM4tZjCh8k/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI ZANZIBAR WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA MADAKTARI WA WIZARA YA AFYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2bx2a0H6Spc/VPS9Sbk79BI/AAAAAAAHHNg/OpM4tZjCh8k/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eOUr-pszGP8/VPS9SYwLldI/AAAAAAAHHNc/2rR7-S5se-0/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9-1mTnEFXdE/Xmy7zSis8sI/AAAAAAALjVw/NEW8M8K6aXI6guUthH2Z7HglaniJ4Lf3gCLcBGAsYHQ/s72-c/f7732e43-a835-48a7-ba3a-299ee5f97f08.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Tanzania yaomba madaktari zaidi kutoka China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Imekuwa inapokea madaktari kutoka China kwa miaka 46
-Yashukuru kwa kujengewa Hospitali ya magonjwa ya moyo Muhimbili
Tanzania imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuongeza idadi ya madaktari wake inaowatuma Tanzania kama msaada kutoa huduma ya tiba kama njia ya kuzidi kusaidia kukabiliana na upungufu wa madaktari nchini.
Aidha, Tanzania imeishukuru China kwa kujenga hospitali kubwa inayoweza kulaza wagonjwa 100 kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0QVEU_psV3s/VL_BiSJYfII/AAAAAAAG-vo/Ly0ULiAlz3Q/s72-c/IMG_2445.jpg)
Dk. Shein aufungua Mkutano wa Madaktari kutoka Uingereza
![](http://1.bp.blogspot.com/-0QVEU_psV3s/VL_BiSJYfII/AAAAAAAG-vo/Ly0ULiAlz3Q/s1600/IMG_2445.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-J1VMXbcZ5sQ/VL_BqTxDoAI/AAAAAAAG-v0/LlfDrFeSE28/s1600/IMG_2452.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zye9H1s-HOY/VL_BqRVDihI/AAAAAAAG-v4/O3wxVtPYGG4/s1600/IMG_2453.jpg)
5 years ago
MichuziMADAKTARI WARIDHISHWA NA MAFUNZO WALIYOPATA KUTOKA WCF
Mafunzo hayo yaliyoanza Juni 22, 2020 kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC) jijini Arusha yaliandaliwa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF)...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea kwa...