Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DKT. SHEIN AWAANDALIA CHAKULA MADAKTARI WA UINGEREZA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamaed Shein (katikati) akiwa katika picha na ya pamoja na na madakatari Bingwa wa maradhi yanayohusiana na mfumo wa utoaji wa haja ndogo kutoka Uingereza alipowaalika chakula cha mchana Ikulu Mjini Zanzibar leo Alhamisi Januari 22, 2015. Katika picha hii pia wakiwepo viongozi wengine wa Serikali. madaktari hao walikuwa wakihudhuria mkutano uliokutanisha matabibu kutoka nchini na Uingereza.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Dkt Shein awaandalia chakula kwa watototo wa Halaiki Zanzibar

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpainduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamadi,(kulia) katika  hafla ya Chakula cha mchana alichowaandalia Watoto waliocheza  halaiki katika sherehe za  miaka 50 ya Mapinduzi  ya Zanzibar katika kilele kilichofanyika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja tarehe 12 jan 2014.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpainduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif...

 

9 years ago

Dewji Blog

Naibu wa Waziri wa Afya Zanzibar awaandalia chakula Madaktari kutoka Hispania !

DSC_0352

Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na Madaktari wa kujitolea kutoka Hispatinia mara baada ya Chakula cha usiku alichowaandalia kwa lengo la kuwashukuru kutokana na mchango wao mkubwa wanaoutoa katika sekta ya Afya Zanzibar, hafla hiyo ilifanyika Hoteli ya Ocean View.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar

DSC_0339

Profesa Jose Pinquet kulia akitambulisha Timu ya Madaktari wanaotoa huduma za Matibabu ya Uti wa Mgongo na Ubongo katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi mmoja kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Dk. Shein aufungua Mkutano wa Madaktari kutoka Uingereza

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamaed Shein akifungua mkutano maalum wa wataalamu wa maradhi yanayohusiana na mfumo wa utoaji wa haja ndogo kutoka Uingereza mkutano huo uliowashirikisha Madakatari Kutoka nchini Tanzania katika ukumbi wa Hoteli ya Breezes Hotel Bwejuu Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja jana Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa madaktari kutoka nchini Uingereza wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT. SHEIN AHUTUBIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MADAKTARI ZANZIBAR

Dkt. Shein akihutubiaBaadhi ya washiriki wa Mkutano wa madaktari kutoka nchini Uingereza wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamaed Shein alipokuwa akifungua mkutano maalum wa wataalamu wa maradhi yanayohusiana na mfumo wa utoaji wa haja ndogo kutoka Uingereza uliofanyika leo Jumatano Januari 21, 2014 katika ukumbi wa Breezes Hotel Bwejuu Mkoa wa Kusini UngujaMadaktari wa Uingereza na wa Zanzibar, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Zanzibar Dkt. Shein aenda Uingereza

IMG_3668

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, katika ukumbi wa Mapumziko ya Viongozi VIP   uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Uingereza kwa safari maalum.

IMG_3687

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama  Mwanamwema Shein wakiagana na Viongozi mbali mbali na wazee wa Chama...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Dkt. Shein aelekea nchini Uingereza kwa safari maalum

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, katika ukumbi wa Mapumziko ya Viongozi VIP uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karumre Zanzibar,kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Uingereza kwa safari maalum. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakiagana na Vingozi mbali mbali na wazee wa Chama katika...

 

11 years ago

GPL

RAIS DKT.SHEIN AELEKEA NCHINI UINGEREZA KWA SAFARI MAALUM

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, katika ukumbi wa Mapumziko ya Viongozi VIP uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karumre Zanzibar,kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Uingereza kwa safari maalum.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema...

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi Seif awaandalia Madaktari wa Kichina tafrija maalum ya kuwaaga

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwakaribisha Madaktari Mabingwa ya Jamuhuri ya Watu wa China waliowasili Zanzibar wiki iliyopita kushika nafasi ya wenzao waliomaliza muda wao wa miaka miwili.Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi na Mke wa Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Bibi Xie Yun wakipata mlo katika tafrija walioandaliwa Madaktari mabingwa wa China waliomaliza muda na wale wapya hapo Mazizini nje kidogo ya mji wa Zanzibar.Balozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani