MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAONYESHO YA SIDO NA TAHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwMZ58UO3TU/U5XUMqFNOvI/AAAAAAAAMqk/7BPMPZog4XU/s72-c/IMG-20140609-WA0055.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mh Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya sido.
Mkurugenzi wa Sido Taifa Omary Bakari akiwa anasoma risala kwa mgeni rasmi katika maonyesho hayo.
meneja wa Sido Isidori kayenze Arusha akiendelea kunogesha maonyesho hayo.
baadhi ya bidhaa za shanga zilizopo katika maonyesho ya sido
Mkurugenzi wa TAHA, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwaa na shanga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Magessa Mulongo afungua maonyesho ya wajasiriamali wa SIDO jijini Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.
5 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAFUNZO YA MADAKTARI YANAYORATIBIWA NA WCF JIJINI ARUSHA
Mkuu wa Mkoa ametoa kauli hiyo leo Juni 24, 2020 katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Laban Kihongesi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na...
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA MTWARA HALIMA DENDEGO AFUNGUA MAONYESHO YA WIKI YA BAHARI DUNIANI MKOANI LEO MCHANA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V_UlHLtuUqE/VUSs0uLNHcI/AAAAAAAATGw/h79yWy1PYQY/s72-c/p6.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AFUNGUA MAONYESHO YA DAR PROPERTY EXPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-V_UlHLtuUqE/VUSs0uLNHcI/AAAAAAAATGw/h79yWy1PYQY/s1600/p6.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, akikata utepe kufungua maonyesho ya uwekezaji katika majengo yajulikanayo kama Dar Property Expo kwenye ukumbi wa VIP wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Jumamosi Mei 2, 2015. Makampuni na mabenki mbalimb ali yanashiriki kwenye maonyesho hayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-qbYewk4mm78/VUSs2ng4xUI/AAAAAAAATG4/cFYkGCmrgPo/s1600/p1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3RQAwh-QT5w/VUSsmQ_Ir1I/AAAAAAAATGY/2ltXIJtfpZ0/s1600/p11.jpg)
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Wajasirimali washauriwa kushiriki maonyesho yanayoandaliwa na SIDO
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi akizungumza wakati wa kufungua mafunzo ya usindikaji nyanya,biashara na masoko yaliyohudhuriwa na wajasiriamali 36 kutoka Manispaa na Wilaya ya Singida.Kulia ni meneja wa SIDO mkoa wa Singida, Shoma Kibende.(Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAJASIRIAMALI Wilayani Singida wamehimizwa kujenga utamaduni wa kushiriki maonesho ya kanda ya kati yanayosimamiwa na SIDO ili pamoja na mambo mengine kutangaza bidhaa zao ziweze kupata soko la uhakika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MKUU WA MKOA ARUSHA AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI, KITAIFA JIJINI ARUSHA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xSjfbwbfM14/VCAoxytleGI/AAAAAAAGlAg/VmyBabMETYA/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AFUNGUA MAONYESHO YA TANO YA SEKTA YA MAKAZI 2015
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara afungua maonyesho ya bidhaa za China ukumbi wa Diamond Jubilee
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa kufungua maonyesho ya bidhaa za China 2015, katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Mpiga picha wetu).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (katikati) akikata utepe kufungua maonyesho ya bidhaa za China 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa...
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI DODOMA KUHUSU UCHAGUZI MKUU