MKUU WA MKOA WA MTWARA HALIMA DENDEGO AFUNGUA MAONYESHO YA WIKI YA BAHARI DUNIANI MKOANI LEO MCHANA
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego (wan ne kutoka kushoto), akikata utepe kuashiria kufunguliwa rasmi kwa maonyesho ya siku ya bahari duniani, yanayoadhimishwa kitaifa mkoani Mtwara. Maonyesho hayo yatafanyika kwa siku tatu katika viwanja vya Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA), Mkoani Mtwara.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego (wa kwanza kushoto), akimsikiliza Mkuu wa Idara ya Navigation kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania, Meja Joseph Mjema ,wakati akitoa maelezo ya namna ramani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mh. Halima Dendego afungua mkutano wa maendeleo ya misitu
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mh. Halima Dendego akizungumza wakati wa uzinduzi wa mkutano wa nne wa wadau wa sekta ya misitu unaolenga kuangazia masuala ya usimamizi shirikishi ya misitu vijijini ulioandaliwa na Taasisi ya UONGOZI mjini Mtwara. Kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Fatma Ally, Kaimu Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki Bi. Gladness Mkamba na Mkuu wa Utafiti na Sera wa Taasisi ya UONGOZI Bw. Denis Rweyemamu.
Kaimu Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki Bi. Gladness Mkamba akitoa mada kuhusu...
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR ISSA USI GAVU AFUNGUA MKUTANO WA MAADHIMISHO YA SIKU YA BAHARI DUNIANI UNAOFANYIKA KITAIFA MKOANI MTWARA LEO MCHANA
9 years ago
VijimamboMH. ISSA USI GAVU AFUNGUA MKUTANO WA MAADHIMISHO YA SIKU YA BAHARI DUNIANI UNAOFANYIKA KITAIFA MKOANI MTWARA
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-B9-UUA0L0rg/VgGy-k_73LI/AAAAAAAB-bE/dIbsDjLk9Y8/s72-c/1.jpg)
Makamu wa Rais Mgeni Rasmin Siku ya BAHARI Duniani Mkoani Mtwara leo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B9-UUA0L0rg/VgGy-k_73LI/AAAAAAAB-bE/dIbsDjLk9Y8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YIRVF-42pDY/VgGzAq1OiBI/AAAAAAAB-bM/dcNOyluKKD8/s640/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KwMZ58UO3TU/U5XUMqFNOvI/AAAAAAAAMqk/7BPMPZog4XU/s72-c/IMG-20140609-WA0055.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAONYESHO YA SIDO NA TAHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwMZ58UO3TU/U5XUMqFNOvI/AAAAAAAAMqk/7BPMPZog4XU/s1600/IMG-20140609-WA0055.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TQFe9nqKrEc/VapARmQVx3I/AAAAAAAHqTo/O6o1UGXJr8g/s72-c/1.jpg)
MKUU WA MKOA WA MTWARA AFUNGUA MKUTANO WA MAENDELEO YA MISITU
![](http://2.bp.blogspot.com/-TQFe9nqKrEc/VapARmQVx3I/AAAAAAAHqTo/O6o1UGXJr8g/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-piC56LEq06c/VapARqtHSDI/AAAAAAAHqTk/9rMfIvdQH2M/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V_UlHLtuUqE/VUSs0uLNHcI/AAAAAAAATGw/h79yWy1PYQY/s72-c/p6.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AFUNGUA MAONYESHO YA DAR PROPERTY EXPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-V_UlHLtuUqE/VUSs0uLNHcI/AAAAAAAATGw/h79yWy1PYQY/s1600/p6.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, akikata utepe kufungua maonyesho ya uwekezaji katika majengo yajulikanayo kama Dar Property Expo kwenye ukumbi wa VIP wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Jumamosi Mei 2, 2015. Makampuni na mabenki mbalimb ali yanashiriki kwenye maonyesho hayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-qbYewk4mm78/VUSs2ng4xUI/AAAAAAAATG4/cFYkGCmrgPo/s1600/p1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3RQAwh-QT5w/VUSsmQ_Ir1I/AAAAAAAATGY/2ltXIJtfpZ0/s1600/p11.jpg)
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KATAVI AFUNGUA MRADI WA KUSOMA KWA NJIA YA MTANDAO MKOANI MWAKE