MKUU WA MKOA WA MTWARA AFUNGUA MKUTANO WA MAENDELEO YA MISITU
![](http://2.bp.blogspot.com/-TQFe9nqKrEc/VapARmQVx3I/AAAAAAAHqTo/O6o1UGXJr8g/s72-c/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mh. Halima Dendego akizungumza wakati wa uzinduzi wa mkutano wa nne wa wadau wa sekta ya misitu unaolenga kuangazia masuala ya usimamizi shirikishi ya misitu vijijini ulioandaliwa na Taasisi ya UONGOZI mjini Mtwara. Kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Fatma Ally, Kaimu Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki Bi. Gladness Mkamba na Mkuu wa Utafiti na Sera wa Taasisi ya UONGOZI Bw. Denis Rweyemamu.
Kaimu Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki Bi. Gladness Mkamba akitoa mada kuhusu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mh. Halima Dendego afungua mkutano wa maendeleo ya misitu
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mh. Halima Dendego akizungumza wakati wa uzinduzi wa mkutano wa nne wa wadau wa sekta ya misitu unaolenga kuangazia masuala ya usimamizi shirikishi ya misitu vijijini ulioandaliwa na Taasisi ya UONGOZI mjini Mtwara. Kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Fatma Ally, Kaimu Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki Bi. Gladness Mkamba na Mkuu wa Utafiti na Sera wa Taasisi ya UONGOZI Bw. Denis Rweyemamu.
Kaimu Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki Bi. Gladness Mkamba akitoa mada kuhusu...
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA MTWARA HALIMA DENDEGO AFUNGUA MAONYESHO YA WIKI YA BAHARI DUNIANI MKOANI LEO MCHANA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uEI8hySOJio/U1-q-E3hmcI/AAAAAAAFd-U/0cfmHt2YUuE/s72-c/unnamed+(1).jpg)
mkuu wa mkoa wa pwani afungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa uchukuzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-uEI8hySOJio/U1-q-E3hmcI/AAAAAAAFd-U/0cfmHt2YUuE/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pC8zGQyRkdg/U1-q-XEJvXI/AAAAAAAFd-g/YLdJdwMYnLE/s1600/unnamed+(2).jpg)
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI DODOMA KUHUSU UCHAGUZI MKUU
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ptmT8qBEbfU/U2ARX5K7oAI/AAAAAAAFeEI/_8ATkEYgLyY/s72-c/unnamed+(62).jpg)
MKUU WA MKOA WA PWANI BI. MWANTUMU MAHIZA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA UCHUKUZI MJINI BAGAMOYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ptmT8qBEbfU/U2ARX5K7oAI/AAAAAAAFeEI/_8ATkEYgLyY/s1600/unnamed+(62).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EYrqoN3QZnQ/U2ARWxmrwaI/AAAAAAAFeEA/SUiW405HDrE/s1600/unnamed+(63).jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA KITAIFA WA KANISA MORAVIAN TANZANIA, ATAKA KANISA KULIOMBEA TAIFA
9 years ago
VijimamboMH. ISSA USI GAVU AFUNGUA MKUTANO WA MAADHIMISHO YA SIKU YA BAHARI DUNIANI UNAOFANYIKA KITAIFA MKOANI MTWARA